Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Hawajakuja kinyonge ila pep kakariri mfumo utashinda kwa Mpira wahivo watu wanakuacha we piga mipasi weee time ianasogeaHawajui mpira. Hawa wanajua inter laja kinyongee
Ile final nyingine alikutana na mmatumbi mjerumani chuma Rudigar. Rudigar mtata sana yani anakaba bila huruma.KDB hana bahati na UEFA final, sijui hata aliikosea nn maskini.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] had moyo unaumaaa khaaah.
Sina amani kabisaaa, tukikosa na Leo bas, hatuna bahati, final 3 zote patupuuu khaaah.Ile final nyingine alikutana na mmatumbi mjerumani chuma Rudigar. Rudigar mtata sana yani anakaba bila huruma.
Uskute Pep na walker wanagombania demu. Haiwezekani kabisa Pep kumuacha walker asianze kwenye mechi muhimu kama hii.Bado nina imani tutatoboa hapa, kumuanzisha walker benchi ni uamuzi ambao mpaka muda huu sijauelewa
Hapana mkuu finali 2 siyo 3Sina amani kabisaaa, tukikosa na Leo bas, hatuna bahati, final 3 zote patupuuu khaaah.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tulia mama mpo wodini tayar maumiv yataisha mkishajifunguaKDB hana bahati na UEFA final, sijui hata aliikosea nn maskini.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] had moyo unaumaaa khaaah.
Sina amani kabisaaa, tukikosa na Leo bas, hatuna bahati, final 3 zote patupuuu khaaah.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Jamaa una mawaZo ya kibaguzi tu, kila anaeachwa benchi kabaguliwa?Uskute Pep na waljer wanagombania demu. Haiwezekani kabisa Pep kumuacha walker.
Ila nikisemaga hapa pep mbaguzi nashambuliwa. Walker mama yake mzungu muingereza baba take mwafrika mweusi mjamaica.
Ni mawazo tangu tu.
Ni mawazo yangu tu mkuu. Naipenda City lakini simpendi Pep. Kumbuka kaka zetu Etoo na Yahya Toure walivyosema. Hao ni wakuwaamini.Jamaa una mawaZo ya kibaguzi tu, kila anaeachwa benchi kabaguliwa?
Unawaza kubaguana tu.
Yeaa ni kweliHapana mkuu finali 2 siyo 3
Nshavurugwaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ya tatu ni ipi? Ukiacha hii na ile ya walikutana na Chelsea
Hawawezi kupata goli Mpira mipasi bila mpangoCome on cityyyy
Wee nae tutolee gubu, shabiki wa manyumbu wee,Tulia mama mpo wodini tayar maumiv yataisha mkishajifungua
Kumbukumbu zangu ni 2. Fainali yao ya kwanza ilikuwa na Chelsea. Ya pili ni hii na inter. Labda umekosea nusu fainali ile walicheza na Tottenham Hotspur VAR ikawaangusha. Na ile nusu fainali na Madrid mwaka janYa leo??