The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ndiyo,alishajibrand.Ingekuwa ukishinda kila kitu unapata ballon d'or basi Varane angepata 2018.
HAALAND
top scorer EPL
Top scorer UCL
UCL winner
FA cup winner
EPL winner
Super cup (probably)



MESSI
world cup winner
ligue 1 winner.
world cup best player

Duuh wacha tusubiri ila kiuhalisia haaland kampiga gep kubwa tu messi.
 
Mashoga sana bahati ni yetu saivi tutashinda tena na tena
 
HAALAND
top scorer EPL
Top scorer UCL
UCL winner
FA cup winner
EPL winner
Super cup (probably)



MESSI
world cup winner
ligue 1 winner.
world cup best player

Duuh wacha tusubiri ila kiuhalisia haaland kampiga gep kubwa tu messi.

Ndiyo,alishajibrand.Ingekuwa ukishinda kila kitu unapata ballon d'or basi Varane angepata 2018.
Wanaangalia na personal accolades pia, sio makombe tu
 
Hongereni Man City
Huu ni mwaka wenu ingawa kwa tia maji tia maji!
Klopp anachukua manne mwakani

Wewe huna unachojua kwenye mpira. Umekuwa mtu wa ramli tu. Wewe unafaa kuwa mganga wa kienyeji tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakujawahi kuwa na msimu mzuri Kwa mkaa benchi.
Msugua benchi kwa level za kina kalvin, laporte ndio ntakuelewa.

Pep amejitahidi sana kumpa dakika alvarez pamoja na kwamba anashindana na haaland na amefunga magoli 17 msimu huu, na kapata dakika kwenye kila kombe tulilobeba tofauti na kina kalvin.

Pale argentina alvarez alikua main starter kuanzia game ya pili ya makundi mpaka final, kawa mfungaji bora namba 3 nyuma ya mbappe na messi.

Amekua na msimu mzuri.
 
Jana viunga vya manchester ilikua ni balaa tupu, fataki za kutosha, bluu kila mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…