Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Philips sizani kama atakuwa anaanzaKovacic soon anatua city , sijajua kama akija atafika anakiwasha ...
Phillips msimu ujayo anatarajia kukiwasha lakin kovacic ni bonge la DM ,hapa sijui kama pep atakuwa anaweza kuanzisha DM wawili ...
Kama gundo hataondoka basi AMD (gundo na kdb inatosha ),,,,DM (kovacic,rodri ,Phillips )...
Foden msimu unaokuja anaweza kuanza kucheza kama midifilder,ile sub ya kdb kuingia foden wengi hawakuielewa ila ndio safari hivo ....
Ila ata kufunga pia bado hajui vizuriFoden kama midifilder anahitaji kuwa mzuri kwenye ...
Kupiga cross ...
Kupiga mipira iliyokufa aisee ,sio mzuri kabisa foden ,baada ya kdb kutoka alipiga set piece 2 ,daaa mipira ilikuwa ya hovyo kabisa ,Kuna namna kdb anarisha mpira katikati either wajifunge au sisi tufunge ....foden hawezi ...
Penetration pass ,hiki kitu foden Bado hajakamilika vzuri,japo aliachia bonge la pass game ya Madrid kumpa Alvarez kufunga , foden anapenda kuturn na kurun na mpira kwenda kufunga ,ila kupiga pass ya kunyoooka Kwa striker Bado ....
Alvarez kivuli cha halaand Bado kinammeza ....
Rasmi sasa mmetoka kwenye kikundi cha wahuniNdio tushaingia hivyo, dharau za kutulinganisha na aston villa hatuzitaki tena.
Kelele zote za nyumbuMAN CITY
Transfer expenditure since 2016
£1.074 billion
Archievement
5 EPL tittles
4 carabao cups
2 FA cups
1 champions league tittle
2 community shields
MAN UTD
£1.077 billion spent since 2016
Archievement
1 Europa league tittle
2 carabao cups
4 times champions league qualifiers.
Pesa tembo akili sisimizi [emoji23]