The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ngoja tuone gundo na bernado hali zao ..kama wakisepa inabidi ije back up mapema sana
 
Kuna watu wamefika ukomo psychologically kuipambania hii team and we need new key players ,pep anatakiwa kucheza na psychology ya wachezaji mapema ....
Haya mambo huyakuti na wala hutaweza kuyakuta Real Madrid ndio maana wakina Modrick, Benzema, Ronaldo na wengineo walishinda back to back hiyo UEFA wakiwa na Jezi Yao nyeupe.
 
Haya mambo huyakuti na wala hutaweza kuyakuta Real Madrid ndio maana wakina Modrick, Benzema, Ronaldo na wengineo walishinda back to back hiyo UEFA wakiwa na Jezi Yao nyeupe.
DNA na historia ya club ndio ilifanya washinde mzee ....

Team ikishakuwa na histroria flan ,kocha hatumii nguvu Tena kushawishii ....anareview to Kisha anasema " tulishawahi kufanya hivi na hivi katika kipindi hiki na Sasa tunaweza " simple ....


Ni sawa saizi tukutane na Madrid Tena semi final , confidence watakayokuwa nayo wachezaji ni kumbwa mno kushindi hapo mwanzo ambapo tulikuwa hatujawahi kucheza nao .....kocha hawezi tumia nguvu nyingi kumotivate kwenye dressing room hio game ....

Atasema tu "Hawa tulishawahi wapiga goli 4 hapa hapa Etihad na Sasa hivi tunaweza kuwafunga " ..... histroria ndio inabaki inafanya kazi kuwapa energy players sio kocha Tena [emoji23]...
 
Mtu kama mount Chelsea wanataka kumuuza £ 60 million [emoji23]

Kai Madrid wamemkataa ,Chelsea wanataka £70milliom [emoji23]

Wachezaji siku hizi wanagharama hatari ,harafu wakaida sanaa
 
Our two top targets so far this summer [emoji680]

[emoji1082] Mateo Kovacic | CM • 29y
[emoji1082] Josko Gvardiol | CB/LB • 21y

 
Understand Manchester City are advancing on Josko Gvardiol deal on player side. Negotiations on personal terms are progressing well, same as Kovacic. [emoji599][emoji838] #MCFC

Leipzig will only sell Gvardiol for huge fee otherwise they are prepared to keep him for one more season.
 
#ManCity are open to a sale of #KalvinPhillips this summer on the right terms. However, Phillips has no intention of going anywhere, and several approaches from #PL sides have hit the buffers.

[Sam Lee, The Athletic]

[emoji2385] #MCFC #ManchesterCity #PremierLeague #Transfers #TransferNews
 
[emoji599] Man City aim to complete the £35M signing of Mateo Kovacic before the end of June. The 29-year-old is ready to accept a contract offer from Man City

[via NizaarKinsella] [emoji281]
 
Mtu kama mount Chelsea wanataka kumuuza £ 60 million [emoji23]

Kai Madrid wamemkataa ,Chelsea wanataka £70milliom [emoji23]

Wachezaji siku hizi wanagharama hatari ,harafu wakaida sanaa
Wale chelsea wamechanganyikiwa tu, wanataka kupunguza nusu hasara ya msimu ulioisha na dirisha dogo ndo maana wanalazimisha high price kwa wachezaji wale walioshindwa kuonyesha kiwango bora kwenye timu yao
 
[emoji599] Man City aim to complete the £35M signing of Mateo Kovacic before the end of June. The 29-year-old is ready to accept a contract offer from Man City

[via NizaarKinsella] [emoji281]
Sasa hapa tutakuwa na DM watatu ( kovacic,rodri , Phillips)

ATM wawili (kdb ,gundo ) hapa namuona pep akimtoa foden winger mpaka midifilder ,,,,msimu ujao namuona stone aki step up mbele kama midifilder kabisa ,Yuko vzuri kwenye ku attack ...

Game ya juzi england sikuona wachezaji wetu yeyote akianza sijui bado hangover ya pombe ..
 
Kuna uwezekano bernado silva akabaki ,maana anataka team za Spain ,lakin hakuna team ambayo imeshaleta offer ....

PSG ndio walikuwa na interest nae ,japo Bado hajaamu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…