Duh,Kante ,joghno na kovacic wote waanze Kwa pamoja,hio ni defensive minded kabisa , [emoji3]...
Huwezi kuwaacha kina mount viungo washambuliji ukaweka wote viungo wakabaji ...
Sijui maana Kuna msimu chelsea iligeuka kuwa timu ya kupark bus ,
Joghno , kovacic,Kante Hawa ni DM( viungo wazuiaji tu kama kina Partey ,rodri ,rice ....
Kuwalazimisha wawe wanashambulia ni kutafuta lawama ,sio kwamba hawawezi kushambulia ...
Hawa ndio wanawezafanya kazi kama ya gundo
Ordegard,mount ,Bruno Fernandes, ....Hawa unaona kabisa ni viungo washambuliji
Mara nyingi chelsea viungo wa kati walikuwa wanacheza wawili tu sio watatu mzee ni jorginho na kova au jorginho na kanteKova kaenda chelsea kipindi cha Mauricio Sarri, line up yake pale kati ilikua hii.
Kante___Jorginho___Kova
Kaja lampard, the same basic line up.
Kaja Tuchel, The same.
Hata pale croatia, DM ni Brozovic.
Au kwenye mfumo 4-3-3 au 3-4-3, wale wa kati wote wanakua DM's kwa upande wako?
Mount ---kante --gallagher labda hivi ,,,Mara nyingi chelsea viungo wa kati walikuwa wanacheza wawili tu sio watatu mzee ni jorginho na kova au jorginho na kante
Tegemea kova atacheza na Rodri pale city
EdersonMara nyingi chelsea viungo wa kati walikuwa wanacheza wawili tu sio watatu mzee ni jorginho na kova au jorginho na kante
Tegemea kova atacheza na Rodri pale city
Kwamba double pivot ya kova na rodri? stones benchi?Mara nyingi chelsea viungo wa kati walikuwa wanacheza wawili tu sio watatu mzee ni jorginho na kova au jorginho na kante
Tegemea kova atacheza na Rodri pale city
Nashangaa Sana wanaosema kovacic anaweza ziba nafasi ya gundo [emoji23][emoji23]Gundogan nae duh, sijui kawaza nin.
Pep ni Genius hapo kapata mchazaji ambaye ni Press resistant hautamuona stone katikati akipokea Mali jukumu hilo atapewa kova,na foden anakwenda kucheza attacking midfield.Pep ame relax asubiri muda wa kutoa hukumu.Kazi tunayo.Ederson
Ake --------dias --------akanji
Stone----rodri
Kdb ----kovacic ----bernado silva
Halaand
Kwa mfumo wa pep inatakiwa kovacic awe anacheze hio position ,!!..
Umri umeendaGundogan nae duh, sijui kawaza nin.
AnawezaNashangaa Sana wanaosema kovacic anaweza ziba nafasi ya gundo [emoji23][emoji23]
Hivi tunamhitaji Sana Rice mpaka tutoe hizo pesa zote wakuu ...According to the reports from Nathan Gissing, City's proposal to West ham is to pay £75m plus £15m ads ons over two instalments in 2 years.
Double pivot iyo, RODRICE.Hivi tunamhitaji Sana Rice mpaka tutoe hizo pesa zote wakuu ...
Au ndio bench litamhusu ,maana rice anacheza kama defensive midfielders kama rodri yale yale ....labda kama pep atamtransform ...