Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Na kwa uhalisia huyu mwamba hapaswi kuondoka kirahisi rahisi hivi kwa wakati huu bado tunauhitaji sana wa huduma yake Etihad.PSG na barcelona tumewawekea ngumu kwa bernado, wanaleta ofa wanaambiwa hauzwi mtu hapa, safi sana.
Tunajianda kumpa mkataba mpya sasahivi.