The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Palmer is the baller ,naona pep anaweza kumuacha kucheza nafasi ya Mahrez ...japo Bado anavingi vya kujifunza ...
 
Kovacic anahitaji muda kuchukua nafasi ya kdb ...

Nimwangalia akiwa na mpira mguuni anatulia ,anajaribu kupiga pass za kdb ,ila inaonekana haja adapt vzuri mfumo but soon ataanza kuwa wa moto ....
 
Leo haaland hakuwa na huduma kabisa ...[emoji23]

Bila link ya kdb ,haaland huwa anapotea kabisa ....

Kila kovacic akijaribu kumtafuta haaland wapi ...

Pep kafanya sub mapema ...

Hope next game against burnely we will start counting winning game ...
 
Bad luck to akanji ...

Kacheza vzuri kabisa dakika zote ,but last minute kafanya makosa ...

Any way we move on ....

Walker this is the man ...more energy...more passion ....

 
This boy need more time in midifilder position ..[emoji170][emoji170]
 
Community shield sio kombe la kulilia ....

Liverpool walichukua mwaka Jana badala waende dressing room kushangilia walienda kuchat na simu kila mtu kwenye locker lake [emoji23][emoji23]...no celebration no passion ,....
 
. Phillips yeye yupo nje kushangilia watu wakifunga [emoji23][emoji23]

66th minute: Cole Palmer and Kevin De Bruyne come on [emoji664]
79th minute: Kevin De Bruyne assists Cole Palmer for the opening goal [emoji460]

 
Cole palmer ameanza kuwa na confidence sasa, bonge la goli.
 
Haya hilo sahani sisi hatuna mda nalo, tuna super cup na club world cup ya kushindania, mda wa kupigania masahani na vibaka tutautoa wapi?

Ijumaa tupo mzigoni na kompany, kazi kazi, show show.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…