Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Mtu katoka kuchukua treble juzi tu hapa na ndani ya miaka 5 amebeba Epl mara 4 lazima awaletee jeuri Trophyless team kama Arsenyo.Wana jeuri hawa watu
[emoji23][emoji23]Hawa vijana Gunners kwnz hata hadhi ya kuingia humu hawana.Mtu katoka kuchukua treble juzi tu hapa na ndani ya miaka 5 amebeba Epl mara 4 lazima awaletee jeuri Trophyless team kama Arsenyo.
Hata sisi kaka zao Manyumbu hua tunaingia kwenye hili jukwaa kwa heshima na adabu maana tunatambua kwa haya makombe anayojibebea kila msimu dogo lazima atakua tayari kashaota mapembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Liverpool huu msimu sijui hata mnagombania nin .....Man city tuwauzie Ben Doak?
We ni churaMtu katoka kuchukua treble juzi tu hapa na ndani ya miaka 5 amebeba Epl mara 4 lazima awaletee jeuri Trophyless team kama Arsenyo.
Hata sisi kaka zao Manyumbu hua tunaingia kwenye hili jukwaa kwa heshima na adabu maana tunatambua kwa haya makombe anayojibebea kila msimu dogo lazima atakua tayari kashaota mapembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Castr nimekutafuta Sana nina ushauri wa kimazoezi nahitaji kutoka kwakoWe ni chura
Huyu ndio next Mahrez kama hujajua ...Hamna mchezaji hapo.
Ngoja ligi ichanganye utamkataa huyo