Bado mzee ,Kuna chuma kingine kinaingia soon ...Ndo tumefunga usajili nini? naona tunahitaji winga wa kulia.
Naona tumetoa ofa ya £70m kwa west ham kwa ajili ya paqueta.Bado mzee ,Kuna chuma kingine kinaingia soon ...
Pep anamfukuzia ...Naona tumetoa ofa ya £70m kwa west ham kwa ajili ya paqueta.
Ofa wameikataa hao vibopa.Pep anamfukuzia ...View attachment 2712612
Saizi soko limeshaharibikia ,imagine average player kama huyo haikutakiwa kuzidi 50m ,...Aaah!!
West ham wanataka £85m kwa paqueta!
Upuuzi mtupu.
Huyu ndio next Mahrez kama hujajua ...
Dribbling zake uliziona lakin ..
Pamler will cook you next game ,keep watching [emoji23]
Hahaaaa this time arsenal naona mnaitafuta epl Kwa udi na uvumba ,lakin tukikutana ni cheche zitatokea ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo mshafanya sisi ni wateja wenu sio?
Tumeamka sasa hivi tumekataa uteja huo msimu huu tutagawana pointi.
Ngoja utaona
Huyaapa mnataka kupigwa na Westham [emoji1787][emoji1787]Kovacic ni injury prone ,akiwa fit ndio anakiwasha ,...
Team bila kdb huwa inakosa balance nzuri ,...
Pep anaumiza kichwa kutafuta world class attacking midifilder,Kitu ambacho ni kigumu mno Kwa ulimwengu wa soka wa Sasa ....
itatuchukua muda Sana kupata play maker kama kdb ...
Rodri msimu umeoisha kacheza zaidi ya game 56 ,sioni kama ataweza kufululiza msimu huu game zote hizo back to back ...hapa huduma ya kina kalvin Phillips inahitajika ...kuna uwezekano wa swap deal kati yetu na west ham, tuwape mchezaji mmoja na pesa kiasi, watupe paqueta.
Cole palmer ndiye inasemekana anaweza kuwekwa kwenye hilo deal