Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Daaa game Kama hizi inahitaji utulivu mkumbwa Sana ..Kbs sio bure walitumwa[emoji23]
Huyu kila. Siku naona improvement yake..this boy [emoji170]View attachment 2719384
Hii itatupa winning spirit tena walai tungepoteza mjini pasingelikalika.Final siku zote sio nyepesi ..kawaulize manyumbu huyu sevilla aliwafanya nin[emoji3][emoji3][emoji3]
Noma sanaFinal siku zote sio nyepesi ..kawaulize manyumbu huyu sevilla aliwafanya nin[emoji3][emoji3][emoji3]
Palmer ni pure talent anahitaji vitu vidogo Sana kuimprove ...Huyu kila. Siku naona improvement yake.
Kiukwl nilikua simuelew hata kdg lkn naona patience yake ina pay mdf mdg.
Tena sana aseeDaaa game Kama hizi inahitaji utulivu mkumbwa Sana ..
Usione hapa saivi Hawapo.. Walikuwepo wanatusbr kwa hamu sana ni bas tu wameamua kulala [emoji23][emoji23]Hii itatupa winning spirit tena walai tungepoteza mjini pasingelikalika.
Hakika huyu kijana anakuja kdg kdg..sikua fan wake lkn kwa ss naanza kumuelewa.Palmer ni pure talent anahitaji vitu vidogo Sana kuimprove ...
Kuna muda nilikuwa namiss zile movement za mahrez ...
Anakuja ndogo ndogo ...
Nilivoona tu haaland ,Alvarez , kovacic nikajua Hawa ni wapiga bunduki tu ,lazima tutoboe penalty...Tena sana asee
Hofu yng ilikua kwny matuta.. Bono mzr.. Wapigaji wetu naona walifanya homework ya kutosha kbs
Huyu walker kwa umr wake na alivotumika sana eneo ilo pep inabid awe na mtu wa kuanza mara nyng kuliko yy ili tuwe tuna conserve energy yake kwny game za muhm zaid ambazo zitahitaj zaid experience yake.Leo Walker alikuws uchochoro aisee ...
Kafanya tackling moja kamkosa ,aisee ederson akajikuta Yuko mwenyewe na yule forward wa sevila ...
Bado haitoshi Tena ,Walker akaacha kumu mark yule jamaa ,amaenda Tena one vs one na ederson ...
Pasingekuwa ederson Leo tungelala yooo ,madogo wamejua kutuotea ...
Jamaa yetu huyu kusema ukwl mda mwngne game inamkataa mbya sana akikosa service au akikamatwa.Pep anazingua kung'ang'ania kumchezesha Haaland dakika 90 hata mechi ikimkataa kuna siku itakuja kutukost. Tia Alvarez (Aguero mtofo) ndani Haaland akipuyanga .
sio mchezaji wa mechi kubwa. na bila kdb mtashndwa kuona tofauti yake na maguliJamaa yetu huyu kusema ukwl mda mwngne game inamkataa mbya sana akikosa service au akikamatwa.
Inabid pep atafute solution hasa kipind hiki KDB hatakuwepo inaweza punguza snaa yy kupata magoal.
Na performance yake kwny Big game hasa semis na final ni swali la kujiuliza sanaView attachment 2719395
Hakika Haaland game kubwa asee anakua myonge mara nyng sana akikamiwa vzr.sio mchezaji wa mechi kubwa. na bila kdb mtashndwa kuona tofauti yake na maguli
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] alikuwa amechoma nyumba aisee nikasema yale Akanji kwa Arsenyani yatukute tena nani katuroga ukweli nilibaki nimeshika kichwa jasho likinitoka ka mi ndo Enderson.Leo Walker alikuws uchochoro aisee ...
Kafanya tackling moja kamkosa ,aisee ederson akajikuta Yuko mwenyewe na yule forward wa sevila ...
Bado haitoshi Tena ,Walker akaacha kumu mark yule jamaa ,amaenda Tena one vs one na ederson ...
Pasingekuwa ederson Leo tungelala yooo ,madogo wamejua kutuotea ...