Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Cry more ,am here to drink your tears ,and we will cook you next game against Chelsea [emoji170][emoji170]Nyie matakataka nawachukia kinoma
Bahati anayo Nani Sasa ,bahati inaambatana na kujituma ...Mwaka huu hamna bahati
Mungu hawezi akawapa bahati nyie tu
Livafool ndo unategemea ubebe ndoo heheheMwaka huu hamna bahati
Mungu hawezi akawapa bahati nyie tu
Foden alijitahidi Sana kumpa haaland mipira lakin wapi ...Ila kimsingi haaland jana kiujumla tu hakuwa kwenye form, kuna chance alikua anapata anachofanya unaona kabisa hapa mmh mwamba hajaamka vizuri.
Yap, kimsingi hakuwa isolated ka game ya sevilla, hakuwa na bahati tu ila nafasi alikua anapata.Foden alijitahidi Sana kumpa haaland mipira lakin wapi ...
[emoji23]Hawa wanajua lbd kubeba ubingwa ni mchezo wa bahat nasibu kwamba unaletewa tu kua eeh bwana eeh sasa ni bahati yako beba.Bahati anayo Nani Sasa ,bahati inaambatana na kujituma ...
Jana Liverpool mlikula umeme lakin mkashindwa kwa hiyo nyie ndio mna bahati [emoji3]