Mchezaji mzuri lakin kutokana na jeuri na kujiona yeye ni mkubwa kuliko club anaenda kupoteana Sasa ....
Cancelo alijisahau na kushindwa kujua Yuko pale kwa sababu ya pep ,kuanza kujiona bora zaidi na kujifanya yeye ni wa kumpangia kocha itamharibia Sana ...
Sijui hata Kama kwenye team ya taifa ameitwa kucheza euro .....
Kuanza kuvimbiana na pep kutaka kila game aanze kucheza ni ujinga ,hataki kuaamin katika rotation,mbona kina Phillips , grealish wamesugua bench Sana ,Kwanza cancelo kwa kiwango kile asingeweza kukaa bench kwa muda mrefu ,ilikuwa swala la muda tu .....
Barcelona aliyokuwa anategemea mpaka Sasa deal liko off ,buyern sijui Kama watamhitaji Tena ,naona akirudi Etihad Tena ,na pep atamuweka bench mpaka kieleweke Kama hataomba msamaha mbele ya wachezaji na board nzima ....
Bonge la LB ,bonge la winger ,lakin soon ataenda kupoteana kwenye ulimwengu wa football ....
Joae cancelo
View attachment 2735731