The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Unajua siaminigi kweli kama city kabebaga kombe duuh kongole asee kwetu
Historia zipo zivunjwe na kuwekwa mkuu.

Mabingwa wa Treble ndo sisi.
Screenshot_20230831_004117.jpg
 
Mchezaji mzuri lakin kutokana na jeuri na kujiona yeye ni mkubwa kuliko club anaenda kupoteana Sasa ....


Cancelo alijisahau na kushindwa kujua Yuko pale kwa sababu ya pep ,kuanza kujiona bora zaidi na kujifanya yeye ni wa kumpangia kocha itamharibia Sana ...

Sijui hata Kama kwenye team ya taifa ameitwa kucheza euro .....


Kuanza kuvimbiana na pep kutaka kila game aanze kucheza ni ujinga ,hataki kuaamin katika rotation,mbona kina Phillips , grealish wamesugua bench Sana ,Kwanza cancelo kwa kiwango kile asingeweza kukaa bench kwa muda mrefu ,ilikuwa swala la muda tu .....

Barcelona aliyokuwa anategemea mpaka Sasa deal liko off ,buyern sijui Kama watamhitaji Tena ,naona akirudi Etihad Tena ,na pep atamuweka bench mpaka kieleweke Kama hataomba msamaha mbele ya wachezaji na board nzima ....

Bonge la LB ,bonge la winger ,lakin soon ataenda kupoteana kwenye ulimwengu wa football ....


Joae cancelo
FB_IMG_16935718571697071.jpg
 
Mchezaji mzuri lakin kutokana na jeuri na kujiona yeye ni mkubwa kuliko club anaenda kupoteana Sasa ....


Cancelo alijisahau na kushindwa kujua Yuko pale kwa sababu ya pep ,kuanza kujiona bora zaidi na kujifanya yeye ni wa kumpangia kocha itamharibia Sana ...

Sijui hata Kama kwenye team ya taifa ameitwa kucheza euro .....


Kuanza kuvimbiana na pep kutaka kila game aanze kucheza ni ujinga ,hataki kuaamin katika rotation,mbona kina Phillips , grealish wamesugua bench Sana ,Kwanza cancelo kwa kiwango kile asingeweza kukaa bench kwa muda mrefu ,ilikuwa swala la muda tu .....

Barcelona aliyokuwa anategemea mpaka Sasa deal liko off ,buyern sijui Kama watamhitaji Tena ,naona akirudi Etihad Tena ,na pep atamuweka bench mpaka kieleweke Kama hataomba msamaha mbele ya wachezaji na board nzima ....

Bonge la LB ,bonge la winger ,lakin soon ataenda kupoteana kwenye ulimwengu wa football ....


Joae canceloView attachment 2735731
Huwez bishana na Pep hata kdg maana yy ndo anajua kuliko ww.

Ndo maana uwa akifika team yoyote uwa anawauliza. Kwn humu Kuna Messi [emoji23] basi kama Hakuna Messi nyie wote mnanisikiliza mm tu[emoji23]
 
[emoji2424] Juanma Lillo: "I speak very regularly with Pep Guardiola, not just footballing terms. He's much, much better. Things are taking place as they should do. We're all delighted, really looking forward to him getting back..."
FB_IMG_16936517066179508.jpg
 
Back
Top Bottom