Eti nini? 😂😂 nyau we!Mkuu wao ndo watachezea nimewambia 2nd half hawa watu hawataamini kitakacho wapata yaani hii game tunai win pasiposhaka kabisa.
Kweli???v😂Mkuu wao ndo watachezea nimewambia 2nd half hawa watu hawataamini kitakacho wapata yaani hii game tunai win pasiposhaka kabisa.
Sisi Ni team ya makombe makubwa tu carabao tumeshawaachia kina united [emoji23]Piga hao man shity nacheka saaaaaana hahaha
Ndio furaha yao maana wanajua kabisa EPL Sisi Ni Wanyama wakatili ,tunawapelekea moto tu ...Haters wamepata chance ya kututania baada ya kuugulia maumivu ndani kwa ndani kwa kipindi kirefu[emoji23][emoji23]
It wasn't our priorityCarabao out ....
EPL
UEFA
Fa
Ukisikia treble ndio hii so bado tunatetea ubingwa wetu ...
Alisema waziUkiangalia kuanzia pree conference ya pep ,utagundua kuwa pep hii game kama vile aliipuuzia kinamna flani ...
ila Naona Liverpool wamerudi bana ...
Liver msimu huu wana watu yule Szobo kawapa uhaiEpl ishakuwa farmers league
Licha ya majeruhi ila city yupo topLiver msimu huu wana watu yule Szobo kawapa uhai
We wa futuhi ndo wakutuita sie losers? 🤣🤣🤣Losers