Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Man utd walikuwa washachanganyikiwa mascot wao walishavurugwa ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji837][emoji1033] December 2021, Manchester…
The agent of River Plate talented striker Julián Álvarez arrives in England to meet with Manchester United.
There’s €17m clause available to trigger plus taxes — but Man United decide against that signing.
Despite letting Martial leave on loan to Sevilla, Álvarez was not considered the right investment for the club.
[emoji838] Three weeks later, Man City decide to trigger the clause but letting Julián stay at River until July ‘22.
[emoji2764][emoji2765] …and the rest is history. €17m fee.View attachment 2772814
Kila mtu walimtakaMan utd walikuwa washachanganyikiwa mascot wao walishavurugwa ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Nawaza tu ...Kila mtu walimtaka
Yuefa yetu[emoji23]Nawaza tu ...
Kdb akirudi na moto ...
Stone karudi na moto ...
Alvarez akaendelea na moto ...
Rodri akarudi na vzuri ....
Katikati patakuwa pa moto hatariiii....
Hakuna team itakatiza mbele yetu ...
Injury ya saka Ni advantage kwetu Hawa Arsenal tunaenda kuwakanda Goli za kutosha pale pale Kwao ...
Binafsi winger nilikuwa namuogopa kwenye one vs one Ni saka ...partey atapoteana mapema ...zincheko ni mtoto siku zote anaishiaga kulia tu ,...Jesus hatakutana na cross yeyote pale kati ...
Kiufupi huyu Arsenal anaenda kujuta kukutana na Sisi Kwa Mara nyingine Tena ....
Kumbe wewe ni mtoto wa juzi aiseee.Kuna team hazina uzoefu CL ,ukiziangalia Namna zinavocheza unajua kabisa ,kwenye league Ni Kali lakin CL Ni habari nyingine ....
Napoli
Arsenal
Hawa wanahitaji Shule za ziada kuweza kujua Namna ya kucheza CL ....
Kwa uingereza team za kibabe kwenye CL ,ambazo huwa zinakuwa na spirit nyingine ,naziheshimu Sana hizi team maana huwa zinakuwa hatarii ...
Man city
Chelsea
Liverpool,
Hizi team hata zikitolewa CL huwa Ni kibabe kweli kweli unaona kweli team inavopambana ....
Kwa upande wa man utd sijui maana hata Enzi za farguson sikuwahi kuona walivokuwa wanachukua CL ,but Kwa sasa Naona wanazidi kuwa hoi ...
Hawa tunawapoteza kimfumoInjury ya saka Ni advantage kwetu Hawa Arsenal tunaenda kuwakanda Goli za kutosha pale pale Kwao ...
Binafsi winger nilikuwa namuogopa kwenye one vs one Ni saka ...partey atapoteana mapema ...zincheko ni mtoto siku zote anaishiaga kulia tu ,...Jesus hatakutana na cross yeyote pale kati ...
Kiufupi huyu Arsenal anaenda kujuta kukutana na Sisi Kwa Mara nyingine Tena ....
Hamuamini philipPale kati kwa man city akikaa lewis na stone game imeisha . Ila pep akiwa weka wale akina Kelvin philips na mateo kovacic kushinda inakua ni ngumu sana
Apo kati nunez na lewisNo rodri
No stone ...
Tutacheza bila kuwa na DM ? Maana Phillips haaminiki kabisa ,Nani atasimama pale kati kushika kijiti cha rodri ...kuliko kucheza na Phillips Bora Nunez aanze tu ...
Ederson
Walker - Dias -ake - gvadiol
Kovacic --nunez --alvarez
Foden--haaland -- doku
Kwa sasa doku Yuko na impact kubwa kwenye game kumzidi Grealish so I prefer doku over Grealish...
Hata Liverpool mtaitandika tuNawaza tu ...
Kdb akirudi na moto ...
Stone karudi na moto ...
Alvarez akaendelea na moto ...
Rodri akarudi na vzuri ....
Katikati patakuwa pa moto hatariiii....
Hakuna team itakatiza mbele yetu ...