Na tuliwaacha waende bila kuteterekaSisi Hatuna wachezaji WA hovyo ...
Palmer ,sterling ,zincheko ,Jesus ,wote Hao Ni wachezaji wanaosaidia team zao popote wanapoenda ...
Nimeona account yake ya IG kaweka private.Kama vip zincheko arudi tu home Naona washaanza kumzingua zincheko wanataka kumfanya kama walichomfanya Ozil ,....Arsenal itaendelea kuwa club iliyolaaniwa [emoji23]
Doku angeanza ule upande wa kushoto angesumbua jamaa yupo kwenye form bora.Doku ni super sub
Yule kucheza dakika 90 ngumu kdgDoku angeanza ule upande wa kushoto angesumbua jamaa yupo kwenye form bora.
Zincheko namkubal sanaKama vip zincheko arudi tu home Naona washaanza kumzingua zincheko wanataka kumfanya kama walichomfanya Ozil ,....Arsenal itaendelea kuwa club iliyolaaniwa [emoji23]