Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Rudia tena wewe kenge? Unasema??😂😂😂Injury ya saka Ni advantage kwetu Hawa Arsenal tunaenda kuwakanda Goli za kutosha pale pale Kwao ...
Binafsi winger nilikuwa namuogopa kwenye one vs one Ni saka ...partey atapoteana mapema ...zincheko ni mtoto siku zote anaishiaga kulia tu ,...Jesus hatakutana na cross yeyote pale kati ...
Kiufupi huyu Arsenal anaenda kujuta kukutana na Sisi Kwa Mara nyingine Tena ....