The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Injury ya saka Ni advantage kwetu Hawa Arsenal tunaenda kuwakanda Goli za kutosha pale pale Kwao ...

Binafsi winger nilikuwa namuogopa kwenye one vs one Ni saka ...partey atapoteana mapema ...zincheko ni mtoto siku zote anaishiaga kulia tu ,...Jesus hatakutana na cross yeyote pale kati ...

Kiufupi huyu Arsenal anaenda kujuta kukutana na Sisi Kwa Mara nyingine Tena ....
Rudia tena wewe kenge? Unasema??😂😂😂
 
Haaland leo tulikua tunampumulia kisogoni, akigeuka watu wapo matakoni..😂😂

Kaogopa hata kupiga shot golini😂😂😂
 
Lose or win ....this is Fantastic club ever ....don't compare with that motherf**CK gaygunners
 
Haaland leo tulikua tunampumulia kisogoni, akigeuka watu wapo matakoni..[emoji23][emoji23]

Kaogopa hata kupiga shot golini[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio furaha yaaa Arsenal miaka Zaidi ya 5 tunawagonga nje ndani ,sio mchezo [emoji170][emoji28][emoji28]
 
Acha kutudanganya. Kuna yeyote unayemjua hapa? View attachment 2775871
Ukitaja hata majina ya wachezaji 3 WA Arsenal hapa njoo nikupe Laki ,au nipigwe ban ya maisha kutumia jf
Screenshot_20231008-205802.jpg
 
Back
Top Bottom