Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Rudia tena wewe kenge? Unasema??😂😂😂Injury ya saka Ni advantage kwetu Hawa Arsenal tunaenda kuwakanda Goli za kutosha pale pale Kwao ...
Binafsi winger nilikuwa namuogopa kwenye one vs one Ni saka ...partey atapoteana mapema ...zincheko ni mtoto siku zote anaishiaga kulia tu ,...Jesus hatakutana na cross yeyote pale kati ...
Kiufupi huyu Arsenal anaenda kujuta kukutana na Sisi Kwa Mara nyingine Tena ....
Out of content....this is the biggest club in the world ,always citizen [emoji170]Acha kutudanganya. Kuna yeyote unayemjua hapa? View attachment 2775871
Ndio furaha yaaa Arsenal miaka Zaidi ya 5 tunawagonga nje ndani ,sio mchezo [emoji170][emoji28][emoji28]Haaland leo tulikua tunampumulia kisogoni, akigeuka watu wapo matakoni..[emoji23][emoji23]
Kaogopa hata kupiga shot golini[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaja hata majina ya wachezaji 3 WA Arsenal hapa njoo nikupe Laki ,au nipigwe ban ya maisha kutumia jfAcha kutudanganya. Kuna yeyote unayemjua hapa? View attachment 2775871
Biggest club in the world,my blood is blue in colour [emoji170]Hii timu mnaipenda kweli kwanza??
RubishUmeshaliwa wewe tulia mkamaria
Lugha gani hii?This club is our ,lose or win still in my heart [emoji170]
We City unaijua? Plastic fans bhana..This club is our ,lose or win still in my heart [emoji170]
Saliba owns that clownHaaland leo tulikua tunampumulia kisogoni, akigeuka watu wapo matakoni..[emoji23][emoji23]
Kaogopa hata kupiga shot golini[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe arsenal unaijua ,? Nitajie mchezaji hata mmoja kalio la Juma lokole weweWe City unaijua? Plastic fans bhana..
Halaand atafute namna ya kucheza vngne..akikutana na mabeki walotulia anaonekana kama Tom tu....leo sijui alikuwa anafanya nn pale mbele...machachari meeengii...output sifuriSaliba owns that clown View attachment 2775942