The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mkuu...hatimaye umekubali mwenyew, mbon huwap kipaumbele ndugu zako wa london AKA washika magobole wa london.😂😂😂
Sisi tunajua tunachofanya, tukimnywa arse8 ndio basi tena, safari itakuwa ishaanza.
#CFC💙💙💙
 
Arsenal hata msimu uliopita alituacha point kibao tu ila kilichotekea kinajulikana
 
Ila kuna kauzembe flani hivi nimekaona
Baada ya kuchukua treble.
 
Ila kuna kauzembe flani hivi nimekaona
Baada ya kuchukua treble.
 
Ila kuna kauzembe flani hivi nimekaona
Baada ya kuchukua treble.
Haaland kacheza juzi na team yake ya taifa kafunga goli 2 ,lakin kwetu kashacheza game 4 ,0 goal...unataka kusema team ya taifa ina midifilder kama kdb ndio maana kafunga ? Jibu Ni hapana ...

Nawezasema tunawinger na no 10 wabinafsi wasiopenda kupiga pass kumtafuta Haaland ,MTU kama kdb alishasema kabisa yeye katika maisha yake ya mpira anapenda Sana assist kuliko kufunga ,ndio maana kupiga pass kwenye angle ngumu kumtafuta Haaland anafanya Bila wasiwasi ,.,.....

Ndio maana kdb akiwa uwanjan Haaland hatulii Ni chance after chance mpira unamfuata ,Ni yeye tu kutia kambani ....

Alavrez Ni mchezaji ambaye naweza Sema alitakiwa kucheza Namba ya kdb ,maana Ni mzuri kwenye freekick ,movement ,Kasi ,nguvu ,lakin ukimwangalia Kwa undani Zaidi Alvarez anacheza kama kumprove wrong pep kuwa yeye Ni Zaidi ya Haaland ,hivyo usije tegemea Mtu kam Alvarez kupiga penetration pass kumtafuta Haaland hata kwenye tight space ..

Foden ,doku , Grealish Hawa Ni winger ambao wanapenda ku dribble kuingia ndani cut-in na kama bado wanaenerg wanashot golin ,hivyo basi Ni ngumu mnoo kumpigia Haaland cross kumpa afunge ,harafu wote wanacheza kukaa kwenye score sheet kama vile wanajitafutia record zao badala ya kumpa Haaland mpira ....

Ukiangalia Hao wote Ni wachezaji waliotakiwa kutengeneza link up kubwa na Haaland ,Kwa sababu halaand Ni goal machine Kila MTU anajua ,Ni striker mkubwa anauzoefu na kucheza na CB kibao kama nafasi zipo ...

Mbaya Zaidi Foden ,doku , Grealish, Alvarez wanacheza kivyao ndio maana unaona mbele hakueleweki Kila MTU anajitafutia Namna ya kufunga ,mwisho WA siku wote wanaishia kubabaisha,Haaland anafanya movement mpira haufuki Hao Hao kina foden wakataka kufunga Hakuna space wanaishia kubutua butua tu ,mpaka rodri ndio huwa anaamua kupanda mbele kusaidia kuaamua baadhi ya game ....

Na rodri anapenda mbele kufanya hivyo Kwa team ambazo ziko na shambolic midifilder,team kubwa usijetegemea rodri kupanda juu Sana tutapigwa mvua ya magoli ....

Tunahitaji midifilder mwingine mwenye mentality kama ya kdb ya kuassit kuliko kufunga ,MTU kama Foden toka game ya Kwanza alionesha uchoyo hadharani Kwa Haaland mpaka watu wakaenda kwenye page yake Instagram kumtukana Foden "pass the fucking ball to Haaland" game inayofuata ndio Foden akawa anajitahidi kinyonge kumpa Haaland na kwenye IG akaja kuandika "finally I assisted you Haaland" so unaweza kuona jinsi tulivo na mawinga selfish ...

Mbaya zaiid Hao mawinga Bora wangekuwa finisher kama mahrez ila ndio hivo tunaishia kubabatiza ....

Game against Arsenal tunapiga shots 4 ,on target 1 ,wakati kdb akiwa uwanjan Ni chance after chance,Cross's kuingia kwenye box zinakuwa nyingi either mabeki wajifunge au Haaland afunge ,kdb anapiga cross Bila hata kuangalia anajua Haaland Ni mrefu kuanzia mwili na miguuu atafikia hata asipofikia hatachoka kumpigia ....lakin saizii tuko na watoto kina foden ,doku ,Grealish , Alvarez wanacheza na wao kutaka kuonekana kwenye score sheet ,Hakuna team work hopeless kabisa ...

Natamani hili pep alione lakin itakuwa too late ,now Haaland anaonekana kama kaflop kumbe kuna vijana wadogo wanacheza kujitafutia record zao , Haaland akishafunga team inakuwa imeshinda tayari ,ila ndio hivo wacha tusubili kdb ....
 
Ukiangalia Kwa haraka haraka watu wanasema kati ya kdb na rodri Yupi anatakiwa kubeba jahazi ....


Mim nitakwambia kuwa rodri anasababisha tusishambuliwe Sana ,ukiwa na rodri unaweza kuwin game ....

Lakin ukiwa na kdb unaweza kuwin game plus 3 or more goal ....

Kile kitu anachofanya rodri Ni passion tu ,anasoma kabisa Hawa madogo hawataki kufunga anaongea na akanji kaa nyuma ,anapanda juu zaiid kushambulia ...

Ndio maana rodri Hana stats za ku create chance nyingi lakin kdb ndio Kazi yake hio ,chance after chance ....

Hivyo basi hata rodri akija ,ukame WA magoli utaendelea hasa tukiwa tunachezea na team kubwa zenye strong midifilder....

"MTU kama kdb ana individual brilliance ya kubreak midifilder line ya opponent na kuaatack kutoka Katikati ya uwanja mpaka Goli either anapiga shots mwenyewe au akatoa assist " rodri hawezi hivi .....rodri anashambulia Pindi tunapowapossess wapinzani na kuwachezea nusu uwanja...


Game ya Brighton itakuwa ngumu mno ,maana wale Wana mark man vs man ,Haaland atafunga endapo tu atapata cross ,hata game ya mwisho Haaland kawafunga Brighton hivo ,...tofauti na hapo de zerb kutu outsmart na kutuadhibu itakuwa simple tu ....
 
KDB tuanze kumsahau kwa sasa
Ila Alvarez anatakiwa asiwe mchoyo tuu maana kwel anataka kuprove kitu kwa kipara.
Na pia halland anapoteza nafasi nying sana
Converting rate rate yake ni ndogo sana kwa sasa
 
Roy Keane gives his no nonsense verdict on who will win the Prem this season:

[emoji2788] “They [Man City] are obviously having a difficult spell. It was a poor game [against Arsenal] – cagey, I thought it was really poor quality but it was edgy.

"I certainly won’t be writing Man City off. When you look at the two league games last year, Man City were so far ahead so there’s definitely been progress for Arsenal. I wouldn’t change my mind in terms of who I think will win the league – it’ll be Man City.

“You look at the last time they played Arsenal in the Community Shield – obviously some class it as a friendly, but they won that game. That will only give Arsenal that bit of confidence and belief. They won it without Saka, who’s a huge player up front.

"A few years ago we watched City vs Man United at Old Trafford in the derby, and we [United] wrote off City. I’ll never make that mistake again.”
 
7'6" Senegalese basketball player Mamadou N'Diaye with Manchester City players.
Erling Haaland is 6'4"
Ederson is 6'2"
Bernado Silva is 5'8"

He dwarfs all of them. How tall are you compared to them???

 
2010/11:
  • Pep’s team was Third after 8 games
  • They conceeded only 6 goals and kept 3 clean sheets
  • Their clean sheets came in 3-0, 2-0 and 1-0 wins
  • Pep won the UCL in Wembley

2023/24:
  • Man City is Third after 8 games
  • Man City have conceeded only 6 goals and kept 3 clean sheets
  • City’s clean sheets came in 3-0, 2-0 and 1-0 wins
  • The UCL final is in Wembley
 
Kumbe na nyinyi matakataka mna uzi wenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] sasa nyinyi mnautofauti gani na Aston villa
 
Mnamo mwaka 2013 KDB alikuwa Weder Bremen kwa mkopo akitokea Chelsea.

Ilikuwa ni weekend moja ampapo Weder Bremen walikuwa na kipute didhi ya Bayer Liverkusen,baada ya mchezo kumalizika nyota huyo alipost picha yake kwenye ukurasa wa tweeter huku akiwashukuru mashabiki wa Weder Bremen kwa sapoti yao siku hiyo.

Wakati huo KDB hakuwa na wafuasi wengi tweeter hivyo hata likes na Comments hazikuwa nyingi.

Post ile ilipata Likes na Comment kadhaa na miongoni mwa watu walio-Like ile post ni mwana dada Michele Lacroix.

Kwa bahati nzuri KDB aliona ile Like na kuamua ku-view profile ya huyo mwana dada Michele Lacroix.

KDB alivutiwa sana na Michele Lacroix,mpaka akatamani kumtumia ujumbe DM ili apate mawasiliano yake...lakini kwakuwa ni mtu maarufu alishindwa kufanya vile huku akihofia ujumbe wake kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kuchafuliwa.

KDB aliamuwa kuomba Ushauri kwa rafiki yake jinsi ya kumpata mwana dada Michele Lacroix,kwani tayari alikuwa kwenye hisia kali na mrembo huyo.

Rafiki yake alishika Simu ya KDB na kum-DM Michele Lacroix....kwa bahati nzuri mwana dada huyu alijibu na kutuma mawasiliano yake na ndo pale mazungumzo yalianza rasmi baina ya KDB na Mrembo huyo.

Mnamo mwaka 2017 KDB na Michele walifunga ndoa na mpaka sasa wawili hao wamezaa watoto watatu mmoja wa kike na wawili wa kiume.

Nb: Siku zote KDB ni mtu wa kutoa assist kwa wengine lakini alipo muhitaji Michele Lacroix alihitaji assist kutoka kwa rafiki yake kipenzi [emoji3]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…