The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Umeanza defensive mechanism mapeeema [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio defence mechanism,unajua watu wanaanza kuongea sijui Derby,Mara united Ni bigger ,Mara sijui hapa na pale ...the solution is calm ,splash splash ,play football and focus ....hi game sio hata final[emoji23]....

Pep anawambia wachezaji " you have the right to lose ,just play football"
 
Haaland inabidi aanze kutupia kama kichaa sasa pamoja na mwenzake Mbappe.

Bellingham ashaona gape la Ballon d'or lipo wazi anatembea nalo utashangaa anachukua mwakani.
 
Kweli united lazima akaze, ndo mambo yake hayo, sehemu kama hizi ndo unamwona alafu anarudi kwenye mediocrity yake ya kawaida.


Utadhani anapambania kombe.
 
Haaland inabidi aanze kutupia kama kichaa sasa pamoja na mwenzake Mbappe.

Bellingham ashaona gape la Ballon d'or lipo wazi anatembea nalo utashangaa anachukua mwakani.
Ukiwa Madrid au Barcelona ndio njia za kuwin balloon d'or ,Mara nyingi kule promo zinakuwa nyingi Sana ....ndio maana hazard alienda kule akiwa na lengo Hilo japo alipoteana....

So Haaland anatakiwa kufanya Mara mbili ya alichofanya mwaka Jana maana kivuli cha mess na Ronaldo kitakuwa kishaondoka na probability ya yeye kuchukua ballon'dor mwaka kesho inaweza kuwa kubwa
 
[emoji838] Guardiola: "Now Man City are a reality, we want to stay at top level as long as possible. We won't stop".

"Maybe it’s uncomfortable because we were not in the elite and now we are. Maybe it’s uncomfortable. But we were there, we're there, we want to be there in the future".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…