The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mkuu...Dunia Nzima imeona kwamba HAALAND KANYIMWA TUZO YAKE STAHIKI NA WAKAMPA ILE YA STRIKER BORA ILI KUTULIZA TU KELELE....LAKINI SIO MBAYA JAMAA BADO MDOGO NA PIA YUPO KWENYE TIMU YENYE KOCHA BORA NA YENYE NJAA YA MAKOMBE....HIVYO LAZIMA ATAKUJA KUIBEBA TU HII TUZO...

WEE NGOJA KDB ARUDI KIKOSINI ALAFU KIJANA AZIDI KUWAKA KISHA TUBEBE TENA VIKOMBE KADHAA+REKODI YA X4 EPL+EPL TOP-SCORE.

TUONE KAMA HATOIPATA ILE BALLON D'OR...ILA PIA NIMEFURAH KWAMBA KUNA WACHEZAJI WA MUHIMU KIKOSINI WAMEPEWA RECOGNITION...IVYO HII ITAWAPA NJAA NA MORALE YA KUFANYA ZAIDI NA ZAIDI.

SO FAR...WE'RE THE BEST TEAM OF THE SEASON2022/2023
Hata mess mwenyewe kasema live Haaland alistaili hii tuzo ,ila sio mbaya nadhani hio ndio ya mwisho Kwa mess ,sasa kawaachia kina mbappe ,Haaland ,Jude ,vinn wajipambanie...

Haaland anahitaji kujituma kweli kweli ,takwimu za msimu uliopita sijui kama anaweza kuzifikia au kuzipita kabisa ..

Siku zote hizi tuzo zinakuwaga na mkanganyiko mkubwa Sana ,haza hizi era za Ronaldo na mess ,sasa Hao vijeba wawili wametoweka ulaya ...
 
.
IMG-20231031-WA0035.jpg
 
Muller award Ni tuzo ya kipuuzi imeyoanzishwa mwaka 2021 baada ya Lewandowski kuwa anastaili balloond'or lakin akapewa mess ...

Leo Tena Haaland kapewa tuzo hio hio Muller trophy badala ya balloond'or ,means hio Ni tuzo Kwa MTU aliyezudhulumiwa ...
IMG-20231030-WA0105.jpg
 
Mkuu...Dunia Nzima imeona kwamba HAALAND KANYIMWA TUZO YAKE STAHIKI NA WAKAMPA ILE YA STRIKER BORA ILI KUTULIZA TU KELELE....LAKINI SIO MBAYA JAMAA BADO MDOGO NA PIA YUPO KWENYE TIMU YENYE KOCHA BORA NA YENYE NJAA YA MAKOMBE....HIVYO LAZIMA ATAKUJA KUIBEBA TU HII TUZO...

WEE NGOJA KDB ARUDI KIKOSINI ALAFU KIJANA AZIDI KUWAKA KISHA TUBEBE TENA VIKOMBE KADHAA+REKODI YA X4 EPL+EPL TOP-SCORE.

TUONE KAMA HATOIPATA ILE BALLON D'OR...ILA PIA NIMEFURAH KWAMBA KUNA WACHEZAJI WA MUHIMU KIKOSINI WAMEPEWA RECOGNITION...IVYO HII ITAWAPA NJAA NA MORALE YA KUFANYA ZAIDI NA ZAIDI.

SO FAR...WE'RE THE BEST TEAM OF THE SEASON2022/2023
Kama role ingekuwa reversed halafu Messi akawa ndiye kabeba treble na kuvunja rekodi ya magoli.

Halafu Haaland akabeba World cup then akatolewa 16 bora UEFA. Ballon d'or bado angechukua Messi..

Hizi tuzo baada ya Messi na Ronaldo kustaafu sasa zitarudi kwenye uhalisia wake na kuacha kutolewa kwa kuangalia umaarufu kama ifanywavyo sasa.
 
Kama role ingekuwa reversed halafu Messi akawa ndiye kabeba treble na kuvunja rekodi ya magoli.

Halafu Haaland akabeba World cup then akatolewa 16 bora UEFA. Ballon d'or bado angechukua Messi..

Hizi tuzo baada ya Messi na Ronaldo kustaafu sasa zitarudi kwenye uhalisia wake na kuacha kutolewa kwa kuangalia umaarufu kama ifanywavyo sasa.
Ni kwel mkuu...umenena vyema kiuhalisia ilifika hatua huwez shinda Category utakayoingia na messi regardless of your achievement...BORA WAMEMALIZA DYNASTY YAO ILI WENGINE NAO WABEBE SASA.

YANI HAKUNA KITU KILINIUMA ROHO KAMA...WALIVYOMNYIMA LEWANDOWISKI WAKATI NDO ALIKUWA KWENYE PEAK YAKE PALE BAYERN...HUO MSIMU JAMAA NDO ALIWEKAGA REKODI YAKE PEKE YAKE YA KUPIGA GOLI.5 KATIKA DAKIKA 9 DHIDI YA WOLFSBURG HUKU BAYERN AKIWA ANAONGOZWA GOLI.1 BILA.
 
Josko Gvardiol on who have surprised him since signing: "Eddie and Rodri. If you talk about Eddie, because he is a goalkeeper and he's incredible with the ball.

"And with Rodri, because he is always in the moment, always with the ball and just the way he controls the ball it's incredible."
 
BREAKING [[emoji2422]]: #ManCity are in talks with John Stones regarding a contract extension that could see him remain at the club until 2027, while there is also an ambition to secure Pep Guardiola to a new deal too.

Discussions with John Stones have come as a follow-up to an agreement made when the centre-back signed his previous #ManCity contract in 2021, which stipulated that talks over an extension would transpire during the 2023/24 season.
 
[emoji2424] Arsène Wenger: "I would say the gulf between the two teams [MUFC and Man City] became bigger and bigger as the game went on. In the end, for such a big club you felt sorry for Man United because there's no hope there in the team. I don't see where they can improve, basically. This team has lost confidence, quality and even spirit today. I would say it was not a great fighting spirit from MUFC, on top of that." [beIN Sports]
-
 
[emoji2788] Julian Alvarez on Erling Haaland:

"There's been a lot of speculation about if we can play together. We've shown we can. The previous season, too. Whenever we've played together, we've scored and contributed with assists. I'm happy for what he's achieved..."
 
Back
Top Bottom