Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
NaamMndali
Tunasubiri mtakao pata maana nyinyi huwa manapata kila mwaka
Subiri utaonaHappy New Year Anne…
Umeanza lini kupiga Ramli lakini? 😁
Utanyela kakomu SebhoTunasubiri mtakao pata maana nyinyi huwa manapata kila mwaka
Heshima yako kakaNaam
Nasubiri ikiwa kweli nitakuletea wateja wengi 2025 uwashughulikie wapite huko kwenye majimbo yaoSubiri utaona
😂😂😂😂😂😂😂Nasubiri ikiwa kweli nitakuletea wateja wengi 2025 uwashughulikie wapite huko kwenye majimbo yao
Mi ni baba yako sio mwanafunzi kuwa makini tusipangiaene starehe za kufanya
Hahah!!!! Namuachia nani sasa?😂😂😂😂😂😂😂
2024 bado tu hujaacha uchizi
Nitakodisha maramanyafu ila nimekusamehe maana uwepo wako hapa unaongezea kitu kikubwa mnoo man city timu kubwa na ndio maana tuko hapaUtanyela kakomu Sebho
Mungu ni mwema kwa upande wangu sijui ulipo mnaendeleaje na ujenzi wa taifaHeshima yako kaka
Utajua hujui ila tambua Mimi ni baba yako mengne mwachie mama yako atayamalizaNani kakupangia denti
Mungu ni mwema pia upandu huu 🙏🏽Mungu ni mwema kwa upande wangu sijui ulipo mnaendeleaje na ujenzi wa taifa
Kwa kweli City ni Big Fish kwenye bahari kwa sasa na hakuna wa kupinga hilo, labda mtu atangulize tu chuki mbele na sio uhalisiaThe greatest team in England and whole world ,we smashed all big club in the world ...nan hajapita kwenye mikono ya the citizens akaonja joto ....
We are the greatest team ever ,[emoji170][emoji170][emoji170]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah!!!! Namuachia nani sasa?