Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
E jobhaaNitakodisha maramanyafu ila nimekusamehe maana uwepo wako hapa unaongezea kitu kikubwa mnoo man city timu kubwa na ndio maana tuko hapa
Timu ndogo hiiKwa kweli City ni Big Fish kwenye bahari kwa sasa na hakuna wa kupinga hilo, labda mtu atangulize tu chuki mbele na sio uhalisia
Wale washika mitutu ya gobole haina hata risasi hawana hata UEFA moja nao unawaweka kundi gani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wale washika mitutu ya gobole haina hata risasi hawana hata UEFA moja nao unawaweka kundi gani
😂😂😂😂😂The citizen hakuna timu Bora duniani kwa Sasa zaidi yetu man city
Man city bingwa EPL NA UEFA tena 🔥🔥🔥🔥🔥
Carabao tumewaachia Liverpool... mengine yaliyobaki Ni yetu ....The citizen hakuna timu Bora duniani kwa Sasa zaidi yetu man city
Man city bingwa EPL NA UEFA tena [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Dunia nzima inatutambua Sisi man city Ni nan[emoji23][emoji23]
Cote I'ivoire coach, Jean-Louis Gasset on his team's tactics: "We play like Man City, they play 4 on paper & you see 3 on the pitch."View attachment 2870133
😂😂😂😂 Ilimradi mtukere tu, sio?
Kwani ni uongo kwamba timu ina UEFA moja tu,nayo ya kuforce Sana🤣🤣🤣😂😂😂😂 Ilimradi mtukere tu, sio?
Newcastle Kwa sasa wapo vibaya Sana ,sio kama msimu ulioisha ilivokuwa ya moto ...Leo New castle wana wakanda
Tushashona suti kushelekea next CL trophy [emoji23]Kwani ni uongo kwamba timu ina UEFA moja tu,nayo ya kuforce Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]