Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
Kamba hapo utotoniKDB akiwa kwenye form Ni bonge la Attacking midifilder..
Akishika mpira Katikati harafu mbele kuna space ,basi goli lazima lipatikane ...
Kushoot nje ya box Ni kawaida yake ,kdb toka utotoni alikuwa anafanya mazoezi ya kupiga mashoot kwenye ukuta WA nyumba yao toka asubuhi mpaka jion unaambiwa ...
Kamba wapi ,wakati anafukuzia kujiunga na genk ,mama yake anamkataza hasira zilikuwa zinaishia kupiga mashoot makali kwenye ukuta wao mpaka unaharibika ....fuatilia ,hata mama yake alisema ...Kamba hapo utotoni
Klopp mwaka huu kapania ,tutegemee kuona mkazo mkali mpaka kieleweke may 2024 ..Livakuku nao wanawaza kabisa wanabeba ndoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna vituko duniani
Unai pumzi inaenda kuisha ,mpira WA hamasa Bila world class player hauwezi kukupa EPL ...Aston villa kaanza kuachia nafasi za wanaume sasa.
Wajitaid tu wacheze Uefa bas Epl hata kwa ndoto hawawez kubeba.Unai pumzi inaenda kuisha ,mpira WA hamasa Bila world class player hauwezi kukupa EPL ...
Mpinzani Ni Liverpool tu ,this time Klopp atakuwa kajifunza maana misimu yote tunamnyanganya tonge mdomoni ,Kwa point 1 tu ...[emoji1787]Wakikaa vibaya na msimu huu ndoo izi tunaweza kuzirudisha zote kabatini.
EPL ndo uhakika kbs hapo iyo hata iweje lzm tubebe[emoji41]View attachment 2872564
Bado sijaona wa kuzuia tusinyanyue izo kwapa tano hapo kwa mara nyingine tena, badoo.Wakikaa vibaya na msimu huu ndoo izi tunaweza kuzirudisha zote kabatini.
EPL ndo uhakika kbs hapo iyo hata iweje lzm tubebe[emoji41]View attachment 2872564
Uefa wanaenda kutia aibu tu kule kama manyumbu na wale mijusi wa howe.Wajitaid tu wacheze Uefa bas Epl hata kwa ndoto hawawez kubeba.
Na ilo wanalijua hata wao.. Wao wapambane warud Ucl basi.
Msimu huu kuku hatutahangaishana nao mpaka mechi ya mwisho.Mpinzani Ni Liverpool tu ,this time Klopp atakuwa kajifunza maana misimu yote tunamnyanganya tonge mdomoni ,Kwa point 1 tu ...[emoji1787]
[emoji23]Hawa liver hata saiv hawalambi kitu.Mpinzani Ni Liverpool tu ,this time Klopp atakuwa kajifunza maana misimu yote tunamnyanganya tonge mdomoni ,Kwa point 1 tu ...[emoji1787]
Weupe kbs wengi.. Yan kama Uefa lbd tufanye ufala wenyw lkn njia ya final kwetu ni zaid ya nyeupe.. Tena wachezaj wetu wote wanarud mzigoni saiv tutakanda watu kinomaBado sijaona wa kuzuia tusinyanyue izo kwapa tano hapo kwa mara nyingine tena, badoo.