Wakati mwingine hata ushindi wa hivyo ni muhimu tu maana ni point 3 muhimu. Nilitaka mfungwe au mtoke sare ila ikashindikana.Japo kwa mbinde.
Nani huyu? Siyo staff wenu huko ambaye ni mshabiki wa Kai na Arsenal?Mashabiki WA Arsenal wanapenda Fujo sio jf tu [emoji23]View attachment 2920963
Shabiki wenu Huyo alikuwa kaja kushangaa hili dude kubwa maana toka anazaliwa hajawahi liona [emoji23]Nani huyu? Siyo staff wenu huko ambaye ni mshabiki wa Kai na Arsenal?
Ni kawaida kutumikia club moja kikazi lakini kushabikia timu nyingine. Harry Kane alikuwaga shabiki wa Arsenal lakini alikuwa anatupa vichapo haswa. Rooney alikuwa shabiki wa Everton ila hakuwahurumia akikutana nao [emoji3]
Kama uko kipesa zaidi ya ushabiki, mpe mkeka wako nyumbu. Ukimfunga unapoteza pesa kidogo ila akikufunga unapata pesa nyingi. Win-win.Manyumbu ni wa kuwapa bao 4 za kibabe walinichania mkeka wiki ilopita mbwa hao.
Leo mmepata msererekoPicha za baadae zimeanza kutoka. View attachment 2922834
Dua zetu ni kwmba yule ambaye ni dhaifu adundwe kwlikwli...Dunia Haina hurumaLeo mmepata mserereko