The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Doku Naona kaimprove this time ....

Unnecessary dribble without good pass kaziacha ,saizi Naona anautulivu na anapiga accurate pass ...
 
Jana nimeangalia game ya Madrid na osasuna ...

Real Madrid Kwa sasa mchezaji wanaemtegemea mkali Ni Jude ,japo Kwa sasa ana injury ,....

CB wao wanaowategemea n Tchoumeni na Rudiger, Tchoumeni Ni kama kiraka tu hata sio Namba yake ,last game Rudiger alimuweka mfukoni Haaland pale Bernabeu ,hii Ni kutokana tulikuwa tunataka kucheza mpira WA counter attack kama. Tulivokuwa tumetoka kumpiga buyern ,home game tuligeuza tactics,more possession wakala NNE ....

Vin ,camavinga ,Rodrigo ,wote Hawa ana kadi za njano , wakijichanganya tu wakapata njano nyingine basi Etihad hawawezi kucheza ...

Madrid saizi wanacheza mpira WA kuvizia ,wako compact nyuma ,ila winger za vin na Rodrigo ndio engine yao ,kiufupi hawana MTU WA kupita Kati kama ilivokuwa benzema ,mipira ya cross Jude anaweka ,kiufupi Jude ndio kama false nine wao ,au Yule bwana mdogo jesule( kama sijakosea Jina)....

Carlo Bora aje tupishane ,akija na mpira WA kuvizia basi ameumia ..Carlo saizi ana woga na Sisi naamin atataka kucheza mpira WA counter attack ....pep is cooking
 
Yani nyie MAMMBWA tumewapa ubingwa wa bure wa FA...mbwa nynyi. [emoji867][emoji867][emoji867]
 
Yani nyie MAMMBWA tumewapa ubingwa wa bure wa FA...mbwa nynyi. [emoji867][emoji867][emoji867]
Hawa Mamacita wanaenda kutolewa na The Blauzi kwenye Semi final.
Fainali itakua ni Chelsea vs Man Utd.
 
Hawa Mamacita wanaenda kutolewa na The Blauzi kwenye Semi final.
Fainali itakua ni Chelsea vs Man Utd.
Chelsea huyu amefuzu Kwa kubabatiza ,red card ya leister city imewaokoa ....

This time Chelsea atajuta ,zile draw ataeleza alizipata vipi[emoji23]
 
Tukikutana Tena na nyumbu fa final ,Mara mbili mfululizo tukawafunga basi Hawa nyumba itakuwa imedhibitishwa kuwa Ni vibonde kwetu ...
 
[emoji599][emoji838] Pep Guardiola:
[emoji2788] “Ederson is doing much better, Manuel Akanji will be 100% ready and available to face Arsenal”.

“Walker and Stones will be out”. [emoji777]

Pep Guardiola has confirmed that both John Stones and Kyle Walker will miss their clash against Arsenal on Sunday through injury [emoji51]

Advantage Arsenal? [emoji848]
 
Arsenal wakiona hii picha wanapata kiburi na kuamin kuwa Arteta alikuwa anampa mbinu pep [emoji23][emoji23]...


Today is a day ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…