Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Aliyekudanganya matokeo mazuri ya mpira ni kutawala ball possession, pass accuracy, shots on target, conners "statistics" ni nani huyo [emoji848][emoji38]Ni vile tu soka ni mchezo wa kikatili sana. Manchester City alistahili ushindi. Walicheza vyema sana.
Carlo karibu mechi zote alizocheza na City uwa anaweka Basi anashambulia kweny Counter au wew Ndio unatazama Mechi kwa Mara ya KwanzaAcha maneno ya kwenye kanga
Nimeongelea uhalisia kuwa majinga yamepaki basi dakika 120
ila nawapongeza Madrid kwa ushindi
Hahaha.....😊Majinga yamepaki basi dakika 120😂
hawa wanahisi uefa ni eplAliyekudanganya matokeo mazuri ya mpira ni kutawala ball possession, pass accuracy, shots on target, conners "statistics" ni nani huyo [emoji848][emoji38]
Hii comment ilitakiwa iwe jukwaa la arsenal, sisi tumechukua hilo kombe bila haram football.hawa wanahisi uefa ni epl
huku funga 1 weka wachezaji wako golini wakizuia shots mkipata counter mpeleke mpeleke 120 mins
UEFA = Haram Football
wao kazi yao kufrahia watu wakikimbia na Mpira badala wafrahie magoli Pain killer kakimbia kabisa uzi wakehawa wanahisi uefa ni epl
huku funga 1 weka wachezaji wako golini wakizuia shots mkipata counter mpeleke mpeleke 120 mins
UEFA = Haram Football
Ndipo hapo Mwacity anapojifichiaga, mbali na hapo ni Ihefu iliyochamka tu [emoji23]No Sheikh mansury's oil money to save you ....you 115 ffp epl farmers
Hii coment unaletewa apa apa kwako na Huna cha kufanyaHii comment ilitakiwa iwe jukwaa la arsenal, sisi tumechukua hilo kombe bila haram football.
Ok tukutane next seasonkwani Goli lenu pia si uzembe ule au unajitoa ufahamu
ukutane Next Season Na Nani malizana kwanza Na ArsenalOk tukutane next season
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahuniiiiHii coment unaletewa apa apa kwako na Huna cha kufanya
Ww ni Manunu au Hala Madrid....mbona mnapenda sana kukera watu nyny washenzi🤠🤠ukutane Next Season Na Nani malizana kwanza Na Arsenal
Vijana kinachowapoza ujuaji mwingi kwahyo inabidi tupige paume vizuri adi achukie mpira kabisaWw ni Manunu au Hala Madrid....mbona mnapenda sana kukera watu nyny washenzi🤠🤠
Naomba nikusalimie kilugha 😂😂😂 !!!Wala hatujariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Well said.pep alipo ulizwa ni kwanini inakuwaga ngumu kuchukua, UEFA
Alichojibu ni kutokana na uwepo wa Madrid uko
Kwayeyote anaeijua Madrid hanaga play style nzur wala tactics
chini ya Anceloti wana mpira wao wa uefa uefa nandicho wanacho ki implement hamna mambo mengi wala mba'mba'mba, ila wanakuja wanachapa wanaenda beba kombe lao
mark my words