The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hii mechi na ya madrid ni mechi moja yenye part 1 na 2.

Pattern ni ileile, mpira mwingi, pasi za kutosha ila output finyu huku wapinzani wanakua hatari zaidi kwenye game.

Naona another penalty shootout na ikifika huko we are doomed.
 
Hii mechi na ya madrid ni mechi moja yenye part 1 na 2.

Pattern ni ileile, mpira mwingi, pasi za kutosha ila output finyu huku wapinzani wanakua hatari zaidi kwenye game.

Naona another penalty shootout na ikifika huko we are doomed.
Let's hope tunamaliza kazi.
 
Sasa kama tutaenda extra time, hizo sio dalili nzuri kuelekea mechi zijazo za EPL.

Dk 120 mara 2 ndani ya siku 4 ni noma.
 
Mnabahati hao wendawazimu wameshindwa kumaliza chance zao

mnakutana na sisi final tunawamega
 
Chelsea ni wapuuzi sana.
Wangetufunga hii game kwa chance walizopata, by the way football isn't fair.

1-0
 
Tulia mpiga ramli, zamu yako inafika usiwe na haraka.
[emoji23] nyie wenyewe man utd si mnamjua nafasi kama hizo Mainoo hakuachi

kwanza man utd na Madrid ni DNA moja tunaenda endeleza walipo achia wenzetu huko Final
 
Into the final πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

FT
City 1-0 Chelsea
 
Y'all Don't Get your Hopes up the Reds Are Coming for you
 
[emoji23] nyie wenyewe man utd si mnamjua nafasi kama hizo Mainoo hakuachi

kwanza man utd na Madrid ni DNA moja tunaenda endeleza walipo achia wenzetu huko Final
Sasa nyie tunajipigia tu, shinda kesho kwanza halafu ndio uje tuongee final.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…