The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

hizi pass sio ishu sana cha msingi ni kuchomoa kwanza hili goli.. come on city..
 
hiyo style washaijua bana we need to change attacking style..
 
HT sun 1 - 0 city wanaenda mapumziko wakiwa mbele kwa goli moja..
 
Muanze kutafuta mrithi wa Pelegrini mapema
 
mineno ya shombo kwa city "kama premier league ingekuwa inaangaliwa kwa mechi za ugenini basi city ingekuwa ya 15 mpaka muda huu.." khaaa...
 
penati ya ili hii tunanyimwa duu kweli kama umebaniwa unabaniwa tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…