Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akanji sina imani nae kabisa.Akanji ,gvadiol ,dias and stones to start
Kama stones yupo fiti basi nafikiri right back ataanza Nunes badala ya Akanji.Akanji ,gvadiol ,dias and stones to start
🤣🤣 kwanini mkuu?Akanji sina imani nae kabisa.
Unapo comment humu huwa tuna struggle sana kushinda kwaiyo sitoshangaa 😄Kila la heri Real Madrid
Kwa safu yenu hiyo ya kiungo ambayo mkabaji halisi ni mmoja tu, kazi mnayo kupambana na counter attack za kibabe kutoka kwa wanaume wa shoka🦍.In case kama Nico Gonzalez atakuwa fiti kuanza, pep anaweza weka double pivot ya Kova-Nico, itatupa strong presence na solidity kwenye midfield.
Sasa usiangalie upande mmoja,vipi kuhusu safu ya ulinzi ya real madrid kupambana na city?Kwa safu yenu hiyo ya kiungo ambayo mkabaji halisi ni mmoja tu, kazi mnayo kupambana na counter attack za kibabe kutoka kwa wanaume wa shoka🦍.
Huyu jamaa huwa anachoma sana.🤣🤣 kwanini mkuu?