The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hii backline ikianza nitaangalia game kwa uhuru sana.

Gvardiol__Dias__Stones__Khusanov.

Stones anapanda kwenye midfield kupiga double pivot na Gonzalez, nyuma wanabaki gvardiol, Dias, na Khusanov ambaye huyu ana pace.

Just like the old days but with new faces.
 
Kule mbele wamezoea kumkaba Haaland, now kuna Marmoush.

Hii game sijui kwanini tunachukuliwa poa.
 
Ukiangalia game zote tulizopoteza ama kudroo UCL ni kwasababu ya kushindwa kuhimili pressure kulikosababisha na midfield dhaifu.

Sporting katupiga 4 ila tulimtangulia 1 kabla.

Feyenoord draw ila tulimpiga kwanza goli 3.

Juve katufunga 2 ila tulienda nae toe to toe first half.

PSG katupiga 4 ila tulimtangulia goli 2 bila.

Madrid katufunga 3 ila tulimtangulia mara 2.

Kitu pekee kilichokua kinakosekana ni solidity, timu ina collapse wapinzani wanarudi mchezoni ndio sababu msimu huu nadhani ndio tunaongoza kwa kupigwa comebacks.

Now kwenye ufungaji imeongezwa firepower (hatukuwa wachovu kwenye kufunga).

Katikati kuna reinforcement.

Nyuma kuna reinforcement.


Sioni kwanini tunakuwa underestimated hivi.
 
Bila sisi Man City UEFA hainogi
halafu why misimu mfululizo UEFA inatokea M.City vs R.Madrid
Wasipocheza nasisi hawajiskii ama
 
IMG-20250219-WA0007.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250219-WA0007.jpg
    IMG-20250219-WA0007.jpg
    191.5 KB · Views: 1
Khusanov kajiunga na timu asubuhi ya leo baada ya kuwa delayed kwa sababu ya mambo ya visa.
 
Mimi naona City hawajapoteana sana kama watu wanavyosema, ninachoona City wana tabia ya kukubali pressure kirahisi kama timu yangu Nyumbu united, kujiamini kupo chini sana hasa wakiongoza goli au magoli au pressure ya aina yyte ile kama vile kushambuliwa na kukaliwa rohoni. Misimu iliyopita Man City hata umkalie rohoni atakuwa na utulivu wa Hali yuu na kurecover haraka.

Sasa basi watu wengi hawajui kuwa sifa hii ndiyo humpa Real Madrid ushindi kwasababu wale jamaa wanaweza wasicheze vizuri kabisa lakini wanakufunga kwasababu wanajua kuhandle ile presha na vichwani mwao wanajua tu hili litapita hivyo hata ukiwafunga unaona sura zao zilivyo Wala hawapaniki kabisa na wanacheza vile vile kama hujawafunga, Sasa hivyo man city ndo inatakiwa iwe hivyo.
 
Mimi naona City hawajapoteana sana kama watu wanavyosema, ninachoona City wana tabia ya kukubali pressure kirahisi kama timu yangu Nyumbu united, kujiamini kupo chini sana hasa wakiongoza goli au magoli au pressure ya aina yyte ile kama vile kushambuliwa na kukaliwa rohoni. Misimu iliyopita Man City hata umkalie rohoni atakuwa na utulivu wa Hali yuu na kurecover haraka.

Sasa basi watu wengi hawajui kuwa sifa hii ndiyo humpa Real Madrid ushindi kwasababu wale jamaa wanaweza wasicheze vizuri kabisa lakini wanakufunga kwasababu wanajua kuhandle ile presha na vichwani mwao wanajua tu hili litapita hivyo hata ukiwafunga unaona sura zao zilivyo Wala hawapaniki kabisa na wanacheza vile vile kama hujawafunga, Sasa hivyo man city ndo inatakiwa iwe hivyo.
Mid fielders wetu tegemezi wote ni 30+, hii inatupa shida sababu wanakuwa hawawezi kuendana na mchakamchaka wa damu changa.

Game nyingi tunazopoteza ni zinafata pattern hii.

I. Tunaanza game kwa kasi na intensity ya juu.

II. Tunafunga magoli, hapa huwa ni dakika za mwanzoni za second half mpaka kwenye 70 hivi.

II. Collapse, midfield inashindwa ku maintain ile energy, tunashindwa kuhimili pressure then comeback zinafuata.

Kuongezeka kwa Gonzalez pale katikati kutakuwa na impact sana kwenye game yetu.
 
Predicted line up.

Marmoush___Haaland__Savinho



Silva_____Nico___KDB


Gvardiol__Dias__Stones__Khusanov

Ederson
 
Back
Top Bottom