The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Pep kamuamini Gundogan kuanza badala ya KDB.

Leo anataka kucontrol game zaidi kupunguza chaos ambayo ndio madrid wanaipenda.
 
Game hii inaweza isiwe na magoli mengi.

Madrid anahitaji draw tu kwaiyo hatakuwa na haraka na mpira, watakaa nyuma au kupiga mid block wanasikilizia.

City kwa hii line up unaona approach yetu ni kwenda kucontol mchezo na kupunguza unnecessary aggression.

Hapa unahisi kabisa game inaenda kurudi kwenye pattern ileile ya pasi nyingi vs counter attack na mara nyingi game za namna hii zinaisha 1-1, 1-0, 0-0, 2-0 n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…