The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Majina si mpira, tutaona mpira wenyewe. Lakini alabuni wanapata hela nyingi za mafuta kwa hiyo hana uchungu nazo. Kila siku anaingiza pesa nyingi tu.
 
Hao ndo wenye uchumi bwana, wakikohoa kidogo, tunaanza kulia na sumatra, mara ccm mara oooooh. Mafuta hayo yanawatia kiburi ile mbaya. Marekani mwenyewe anaiba ile mbaya lakini hayaishi. Kuhusu formation hata sijui muundo wake uko vipi, wanasajiri kwa sifa kemkem. Nafikiria itakuwa 4 - 1 - 5 yaani kule mbele ni kama nyuki.
 
ha ha ha 4 -1-5 hii ni formation kali sana. hebu nipange washambuliaji - Teves na Adebayor Kati, Pembeni Bellamy, Robinho wakisaidiwa na Phillips. Hapo Balotelli na Cruz wanasubiria nje. duh kazi kweli kweli.
 
Hao ndo wenye uchumi bwana, wakikohoa kidogo, tunaanza kulia na sumatra, mara ccm mara oooooh. Mafuta hayo yanawatia kiburi ile mbaya. Marekani mwenyewe anaiba ile mbaya lakini hayaishi. Kuhusu formation hata sijui muundo wake uko vipi, wanasajiri kwa sifa kemkem. Nafikiria itakuwa 4 - 1 - 5 yaani kule mbele ni kama nyuki.

uthubutu wa kushambulia mwanzo mwisho wailuweza chile katika woza 2010...nadhani city watakuwa na benchi kali la ushambuliaji kuliko timu nyingi za ulaya..najaribu kujenga picha ya kikosi...1.given..2...boateng....3...bridge...katikati toure na lescott..midfielders de jong....toure na barry huku mtoto adam johnson anakimbiza pembeni...silva na mario balotelli mbele wanafanya maangamizi huku katika benchi tevez na ade mabao wakiwa na kiu...kwa beki zetu wakina sisi kama haziwi makini kwakweli tunaweza pata aibu ya mwaka
 
...hodi hodi wenyewe humu, amkeni kumekucha sasa!
eehh, :A S 100: bado mmejifunika tu?
 
Tottenham-v-Man-City-Joe-Hart-Shay-Given_2487507.jpg



Tottenham-v-Man-City-Gareth-Bale-Nigel-De-Jon_2487503.jpg



Tottenham-v-Man-City-Gareth-Barry-Tom-Huddles_2487518.jpg



Tottenham-v-Man-City-Roberto-Mancini-Harry-Re_2487519.jpg



Tottenham-v-Man-City-Joe-Hart-punches_2487551.jpg
 
Man City wana mercenaries kuliko French Foreign Legion lol....
 
Wakubwa siyo mimi tu bali hata Fargie na Ancelotti wameliona hili. Tayari wameanza kuota kitete kwamba CITY inaweza kuwa moto wa kuotea mbali baada ya kuwanasa Balotteli kwa kitita cha 22.5m Pounds na James Milner kwa 24m Pounds.

Sasa wakuu inabaki uwezo wa Roberto Mancini kutuonyesha uwezo wake wa kuwaunganisha mastaa hawa ili CITY icheze ki timu zaidi ya tulivyoona mwaka jana na kuwa timu bora duniani. Kuna baadhi ya wadau wa soka bado wanahoji uwezo wa huyu kocha. tusubiri tuone.

Kwa kuwakumbusha tu mpaka sasa mmiliki wa Club hii - Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan ameshatumia jumla ya Pound 325m tangu ainunue CITY. Ameshasema wazi wazi kwamba mafaranga kwake si tatizo.

Fargie anasema kuwepo na Limit ya transfer fee spending na mishahara vinginevyo Club zingine zitaumia sana na soko kipindi cha usajiri.

http://www.thesun.co.uk/sol/homepag...ns-Manchester-City-are-title-challengers.html

Alex Ferguson blasts Manchester City’s “kamikaze spending” | The Sun |Sport|Football
 
Wakubwa siyo mimi tu bali hata Fargie na Ancelotti wameliona hili. Tayari wameanza kuota kitete kwamba CITY inaweza kuwa moto wa kuotea mbali baada ya kuwanasa Balotteli kwa kitita cha 22.5m Pounds na James Milner kwa 24m Pounds.

Sasa wakuu inabaki uwezo wa Roberto Mancini kutuonyesha uwezo wake wa kuwaunganisha mastaa hawa ili CITY icheze ki timu zaidi ya tulivyoona mwaka jana na kuwa timu bora duniani. Kuna baadhi ya wadau wa soka bado wanahoji uwezo wa huyu kocha. tusubiri tuone.

Kwa kuwakumbusha tu mpaka sasa mmiliki wa Club hii - Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan ameshatumia jumla ya Pound 325m tangu ainunue CITY. Ameshasema wazi wazi kwamba mafaranga kwake si tatizo.

Fargie anasema kuwepo na Limit ya transfer fee spending na mishahara vinginevyo Club zingine zitaumia sana na soko kipindi cha usajiri.

Carlo Ancelotti warns Manchester City are title challengers | The Sun |Sport|Football

Alex Ferguson blasts Manchester City’s “kamikaze spending” | The Sun |Sport|Football
Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan mpira anaupenda hobi yake na hayupo sana kibiashara kama roman abramovich.
 
Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan mpira anaupenda hobi yake na hayupo sana kibiashara kama roman abramovich.

reference?

Watu wanaamka na pombe na kuja weka upupu JF!

Humjui huyo kilaza! Alisema Totenham haifungwa kwa miaka 8.

That guy is a piece of dumbass!! He always tries too hard to impress with his off-topic responses, only to make a fool of himself.
 
That guy is a piece of dumbass!! He always tries too hard to impress with his off-topic responses, only to make a fool of himself.
ukikosea kidogo tu watu wameweka pointi na ndio inakuwa kila siku kujitetea kwao,google stars vs algeria 1995 uwanja wa taifa stars alishinda 2-1 kugombea kwenda south africa,ili unipinga basi,kazi kweli kweli
 
Humjui huyo kilaza! Alisema Totenham haifungwa kwa miaka 8.

ukikosea kidogo tu watu wameweka pointi na ndio inakuwa kila siku kujitetea kwao,google stars vs algeria 1995 uwanja wa taifa stars alishinda 2-1 kugombea kwenda south africa,ili unipinge basi,kazi kweli kweli
soka wewe umeanza kushangilia juzi karne hii siwezi bishana na watu kama nyie
 
reference?
unaona mwenyewe,anakosa kombe ila mvumilivu hana presha amuingilii meneja kazi yake licha ya gharama zote alizotumia kununua wachezaji eg santa cruz,robinho,adebayor,tevez,kolo toure nk,Abramovich msimu wake wa kwanza tu kakosa kombe kamtimua ranieri,kakosa champions ligi anamuingilia mourinho ktk kazi yake,au na wewe mamluki nini wa chelsea nini lol
 
That guy is a piece of dumbass!! He always tries too hard to impress with his off-topic responses, only to make a fool of himself.
kaka mimi soka lipo damuni,nimeanza kufutilia toka enzi hizo tvz tu ndio inatamba,data nyingi nakupa kwako kiluweluwe yani ziro,ila ilingishi mimi sijui,sijasoma inglishi kozi helimu yangu dalasa la piri hivyo tuongee lugha ya taifa,sikuelewi unamaanisha nini kwa ilingishi,au unaonyesha na wewe utaalamu wako nini,kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom