brown anatakiwa red kabisa damn,.
ni baada ya kumfanyia rafu ya kusudi aguero..
Hii nini tena
ni kiporo chetu na sunderland..Mechi gani tena..mi toka dawa,ituingie juzi nimelewa kabisa
hii gemu kuna wachezaji tutawakosa gemuu zijazo maana ni full kuumizana..
Sunderland si wanashuka daraja hawa...duhhh