The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Nilikuwa najiuliza uzi wa city hivi kweli haupo?.

Ntatoa update mechi zote za city.
 
Leo hii manager na wachezaji wa Man. City walilalamikia njaa na Everton waliamua kuwapikia milo 4 ingawaje Everton hawana shamba. Walipata wapi chakula cha kuwalisha Man. City.

Baada ya mlo, Guardiola ameishukuru Everton kwa ukarimu wao.
 
heshima ya guardiola nikuuleta mpira wa tik tak epl.
 
Hapana mkuu nilikuwa napitia comment zenu zilizopita.Bado mapema na asubuhi tuvute subira lakini mwanga umeshaanza kuonekana nani anataka kuchukua ndoo.

Kipimo Chako Cha Kuchukua Ubingwa Kipo Wazi tu...
 
Ndan ya cku 7 unakutana na Stock City,Atletico Madrid zen Man city katk point 9 umechukua 6.....hapohapo anatokea mtu mwny IQ ndogo anakuja kuiponda Chelsea
 
Ndan ya cku 7 unakutana na Stock City,Atletico Madrid zen Man city katk point 9 umechukua 6.....hapohapo anatokea mtu mwny IQ ndogo anakuja kuiponda Chelsea
Kuna kilaza atakuja kukupinga hapa we subiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…