Bado kidogoHuyu jamaa ndio bingwa aisee...
Hakuna ubishi tena...
Bado kidogo ninBado kidogo
MichezoBado kidogo nin
City bingwa bossMichezo
Mi chabiki wa city. Lakini ciwezi kuimba kabla ya ngoma.mpira ni mchezo wamakosa.City bingwa boss
Kwa nini mkuu?ngoja nirudi kwenye jukwaa langu pendwa la liverpool...huku cpawez
Wewe sio City, City hata akipoteza mechi 4. ( 12 point loss ) na wapinzani wao washinde zote bado anakuwa anaongoza kwa point 1. sasa turudi kwnye mpira wao. kwa kasi wanayoenda na stail yake mmmmmmmmh unashindwa kukokotoa ubingwa kweli?Mi chabiki wa city. Lakini ciwezi kuimba kabla ya ngoma.mpira ni mchezo wamakosa.
hata mimi nimeshangaa anaogopa niniWewe sio City, City hata akipoteza mechi 4. ( 12 point loss ) na wapinzani wao washinde zote bado anakuwa anaongoza kwa point 1. sasa turudi kwnye mpira wao. kwa kasi wanayoenda na stail yake mmmmmmmmh unashindwa kukokotoa ubingwa kweli?
Jamaa anaamua kurudi kwenye jukwaa lake la Liverpool maana anashangaa wana citizen kushindwa kukokotoa ubingwa wakati unaonekana.Kwa nini mkuu?
Mkuu mbona nipo tu!! Mi ni City damu damu!!! Na sijahama team nyingine yoyote.Jamaa anaamua kurudi kwenye jukwaa lake la Liverpool maana anashangaa wana citizen kushindwa kukokotoa ubingwa wakati unaonekana.
.Mfano city apoteze mechi hizi hapa chini, na akashinda zilizobakia. bado city bingwa.
.View attachment 659667
Dunia ina maajabu mengi mkuu. Kuna mambo huwa anatokeaga kama miujiza.hata mimi nimeshangaa anaogopa nini
Mkuu pekuw majukwaa ya ma team mengine utaona michango yangu. Huko Liver sijawahi hata siku moja.Jamaa anaamua kurudi kwenye jukwaa lake la Liverpool maana anashangaa wana citizen kushindwa kukokotoa ubingwa wakati unaonekana.
.Mfano city apoteze mechi hizi hapa chini, na akashinda zilizobakia. bado city bingwa.
.View attachment 659667