The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Manchester City wanafikiria uwezekano wa kupeleka wachezaji wao chipukizi kwenda kwa mkopo katika klabu ya Bristol City ambao watakutana nao katika nusu fainali ya Kombe la Ligi. (Mirror)

Manchester City waliacha kumfuatilia Alexis Sanchez ili kumfuatilia Fred. (Daily Star)


Kiungo Kevin De Bruyne anatarajiwa kupewa mkataba mpya Manchester City kutokana na kuonesha kiwango kikubwa. (BBC Sport)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…