Asante jirani.Ukiwa mshabiki wa league Uimgereza kuwa tayari kupokea surprise siku yyte...
Majirani poleni...huenda wigan wakaw washapaka kinyesi njia yenu.
hasira kwa Chelsea tumewapa kazi ya kufanya wameshindwa, jamaa amerudi tena nafasi ya pili. Na tuliemtuma karudi kugombea nafasi ya big 4. yaani yupo chini ya big 4.Oya oya oya wakuu humu ndani vipi?
Simnajua leo tunauwasha na Arsenal, au bado mnahasira za Wigan?
Chelsea michele wale hawawezi kazi wala nnhasira kwa Chelsea tumewapa kazi ya kufanya wameshindwa, jamaa amerudi tena nafasi ya pili. Na tuliemtuma karudi kugombea nafasi ya big 4. yaani yupo chini ya big 4.
Ndio mana anachezeshwa makombe ya mbuzi tuBravo anamatatizo ni wa kumtoa
Man city bingwa. hivi tunakutana na arsenal kwenye ligi lini? natamani acheze hiviNdio mana anachezeshwa makombe ya mbuzi tu
Final imekua ya kizembe sanaMan city bingwa. hivi tunakutana na arsenal kwenye ligi lini? natamani acheze hivi
3-0nipen matokeo ya city
[emoji15] hadi wewe unatizama mechi.Tetesi
Manchester City inatarajia kukamilisha usajili wa beki wa Athletic Bilbao Aymeric Laporte wikendi hii. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 amebadilisha nia yake baada ya kukataa uhamisho wa kueleka City miezi 18 iliopita.{Mirror}