Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Tetesi
Manchester City inatarajiwa kutia saini kandarasi yenye thamani ya £45m kwa mwaka na kampuni ya Puma. Kandarasi yao na kampuni ya Nike ina thamani ya £18m kwa mwaka. (Sun)
Fifa imepanua uchunguzi wake kuhusu iwapo Manchester City ilivunja sheria kuhusu usajili wa wachezaji.
Klabu hiyo huenda ikaadhibiwa na marufuku ya uhamisho iwapo itapatikana na makosa. (Telegraph)
Manchester City inatarajiwa kutia saini kandarasi yenye thamani ya £45m kwa mwaka na kampuni ya Puma. Kandarasi yao na kampuni ya Nike ina thamani ya £18m kwa mwaka. (Sun)
Fifa imepanua uchunguzi wake kuhusu iwapo Manchester City ilivunja sheria kuhusu usajili wa wachezaji.
Klabu hiyo huenda ikaadhibiwa na marufuku ya uhamisho iwapo itapatikana na makosa. (Telegraph)