Napenda tupangiwe Madrid au Sevila kwanza kabisa madrid ni timu inayocheza kwa mzuka na kikosi chao hakina ubora wowote msimu huu, pili Sevila wana viungo wazuri kama Barnega na Nzonzi. Sasa hii vita ya hawa viungo pale kati najua itakua kali na yakuvutia sana japo ni lazima tuwatoe kutokana na kwamba hawana ukuta mzuri sana kutuzuia au forwad kali kutufunga.Wakuu kesho nadhani ndo kutafanyika droo mungependa tupangwe na team gani? Team gani ambao hampendi tukutane nao?
Historia ya City naijua kwa kuwa si kuubwa sana.Inavikombe vingapi? Imevichukuw mwaka gani na mwaka gani? Wew naona unajuw historia yake vizuri.
Mtakutana na Bayern Munic au Real MadirdWakuu kesho nadhani ndo kutafanyika droo mungependa tupangwe na team gani? Team gani ambao hampendi tukutane nao?
Tema mate chiniNapenda tupangiwe Madrid au Sevila kwanza kabisa madrid ni timu inayocheza kwa mzuka na kikosi chao hakina ubora wowote msimu huu, pili Sevila wana viungo wazuri kama Barnega na Nzonzi. Sasa hii vita ya hawa viungo pale kati najua itakua kali na yakuvutia sana japo ni lazima tuwatoe kutokana na kwamba hawana ukuta mzuri sana kutuzuia au forwad kali kutufunga.
Timu sitamani kukutana nazo ni Barca na Buyern, kwanza kabisa historia pia barca ndio kama chuo au chimbuko la soka tunalicheza sisi kwa sasa pia wanawachezaji wenye uzoefu na ubora wa hali ya juu kabisa kama Mess na Iniesta.... kwakweli kwajinsi beki zetu zilivyo sioni jinsi tunaweza kumzuia Mess pia ata eneo la viungo kuna watu mahiri kama Busquet na Raktic wapi vizuri sana.
Pili buyern nao imekua ni timu tishio sana huko kwao Germany yani hawakamatiki hawa jamaa na wanawachezaji wazuri sana ukimuangalia mchezaji mmoja mmoja unaweza kata tamaa ata kabla ya game
All in all yote yanawezekana hayo ni mawazo yangu tu. Mungu ibariki City
Wew si ndo ulisema imeanzishwa 2009? Au alikuw mwingine?Historia ya City naijua kwa kuwa si kuubwa sana.
City kuanzia mwaka 1894 mpaka mwaka 2018 ime chukua makombe 14
Lakin kuanzia mwaka 1894 mpaka 2008 ilichukua makombe 7
Akaja mwarabu
Kuanzia mwaka 2009 mpaka mwaka 2018 imechukua makombe 7.
Na kuanzia mwaka huo ndio The oil money came in.
Pinga kwa hoja za msingi sasa..Tema mate chini
Bora mkutane na timu yyte kwa sasa ila si Madrid.
Wako bora kuliko nyir hasa kwenye UCL na ndio kombe pekee wana lipigania.Pinga kwa hoja za msingi sasa..
Ubora wao uko wapi sasa mkuu au ki-historia?Wako bora kuliko nyir hasa kwenye UCL na ndio kombe pekee wana lipigania.
Ni mabingwa watetezi.Ubora wao uko wapi sasa mkuu au ki-historia?
V. real, girona,R. betis, espanyol, tot na barca wamewafunga kwann Man city washindwe?Ni mabingwa watetezi.
Pia wana rekod nzuri UCL
Kama Wigan, Liver, Shakhtar, Basel waliwafunga kwa nn Madrid washindwe?
Madrid wanafungika sana tu!!!V. real, girona,R. betis, espanyol, tot na barca wamewafunga kwann Man city washindwe?
Tena vizuri mno na mm nakesha kuomba dua waangukie mikononi kwangu, yani sioni wapi wanatokeaMadrid wanafungika sana tu!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wew si ndo ulisema imeanzishwa 2009? Au alikuw mwingine?
Mwaka huu city kapata mafanikio gani mkuu?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nikisema chelsea imeanzishwa 2004 unadhani namaanisha exactly?
Its just Litelary tuu. Mafanikio ya City yameanza mwaka huo.
Mkuu naomba nijuw we ni team gani?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nikisema chelsea imeanzishwa 2004 unadhani namaanisha exactly?
Its just Litelary tuu. Mafanikio ya City yameanza mwaka huo.
Kachukua Kombe la EFLMwaka huu city kapata mafanikio gani mkuu?
Mkuu 100 hatafikishaKachukua Kombe la EFL
Yuko Robo final ya UCL
Ni bingwa mteule wa EPL
Probably atakuwa timu ya kwanza kumaliza ligi kwa point 100 na zaidi.
Mpaka sasa mna possibility ya kufikisha point 105Mkuu 100 hatafikisha
Kwa vigezo hivyo sasa hukutakiwa kusema kwamba city wameanza kupata mafanikio mwaka huu kwa sababu uliyolist hapo hakuna geni ata moja kwa CityKachukua Kombe la EFL
Yuko Robo final ya UCL
Ni bingwa mteule wa EPL
Probably atakuwa timu ya kwanza kumaliza ligi kwa point 100 na zaidi.