Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo ilivyokua 😀😀.... Leo una Everton
Ila vijana siku hizi wanatukazia sana maana huu ushindi mwembamba hivi hatujazoea sisi
Nipo nawafatilia kwa ukaribu kabisa hapaTunapambana ingawa ni Derby hiyo tena Derby kubwa sana
Nipo nawafatilia kwa ukaribu kabisa hapa
Nilijua game yenu itakua ngumu mana huyo jirani yako huwa anakukazia sana....AHhahahahaha
Majanga huko , huyu mjerumani akishindwa kuchukua ndoo msimu huu naona aondoke tu
Yote yanawezekana mkuu, nakutakia mapambano memaHaka katimu hakawezi beba ligi kwa Mara ya pili tena..
Tutapambana hadi mwisho..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua game yenu itakua ngumu mana huyo jirani yako huwa anakukazia sana....
Mpeni tu muda kocha......
Unajua mmeshabadili makocha wengi lakini huyu ameonesha ana kitu......Muda upi huo tena? Au sikuelewi?
Kocha huyu huu ni msimu wake wa nne, misimu zaidi ya minne tukusubirie wewe tu?