CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,634
- 1,001
Kumbe numbisa ni liverpoolDuh home man u soon tunakamata namba tatuuuu
Kumbe numbisa ni liverpool
Unajua mmeshabadili makocha wengi lakini huyu ameonesha ana kitu......
Top4 uhakika kila msimu
Ushindai wa nguvu na bingwa
UEFA mixer kufika adi final
Tusubiri tuoneDuh home man u soon tunakamata namba tatuuuu
Kweli timu inaweza ikawa ni kongwe na ilikua inafanya vizuri lakini katika kila kitu kuna ile rise and fall sasa unachotakiwa kukubali nikua timu yako ilianguka tena anguko takatifu, kama utakumbuka miaka fulani hapo nyuma ata top 4 tu kuiona ilikua ni shughuli......Mkuu ikiulizwa ni zipi timu mbili kubwa na kongwe EPL basi jibu ni Liverpool na Man Utd tu
Sasa miaka 30 inapita timu ni timu kubwa na tena kongwe zaidi maana Kabla ya mwaka 1992 Liverpool ndio alikuwa ana makombe mengi ya ubingwa Uingereza (18 for Liverpool and 7 for Red Devils by that time) hujachukua ubingwa kweli? Miaka thelathini kabisa mikono mitupu na wewe ni moja ya timu mbili kubwa kabisa racing for those thirty years katika hiyo ligi?
Top Four ni priority ya timu kama Arsenal au Tottenham na sio Liverpool FC ambayo kwa ukongwe na mafanikio katika EPL basi Liverpool ndio kongwe kabisa pale Uingereza kuzidi klabu yeyote ya kiingereza
Kweli timu inaweza ikawa ni kongwe na ilikua inafanya vizuri lakini katika kila kitu kuna ile rise and fall sasa unachotakiwa kukubali nikua timu yako ilianguka tena anguko takatifu, kama utakumbuka miaka fulani hapo nyuma ata top 4 tu kuiona ilikua ni shughuli......
Sasa ili kurejea katika huo ubora mliokuanao zamani hamuhitaji kuangalia kigezo cha ukongwe wenu bali mnatakiwa kuangalia Soccer linaendaje muda tulionao sasa na mabadiliko ni process that why nakuambia endeleeni kumpa muda kocha wenu....
Kama ikitokea Klopp kapigwa chini ni kocha gani wewe unahisi akija pale Unfield atawapa mnachokitaka?Hapana mkuu, hawa makocha tuliopata kuwapatia timu yetu ni magarasa
Huwezi niambia kwa timu kongwe na tajiri katika nafasi ya tatu pale EPL eti kushiriki UEFA ni mafanikio makubwa
Kama ikitokea Klopp kapigwa chini ni kocha gani wewe unahisi akija pale Unfield atawapa mnachokitaka?
Sawa mkuu ngoja tuombe uzima ili tuone kama ni kweli mana najua Klopp hatokaa hapo mileleMakocha wenye uwezo wako wengi vibaya mno
Kuna Laurent Blanc, Slaven Bilic, Nuno, yule aliefukuzwa Real Madrid kabla hajaja Solari, kuna Valverde akitoka Barca, Sarri akifukuzwa Chelsea na wengine kibao