The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Yes, mapenzi ya ligi yanakuja kwa sababu unajikuta unataka kuziona timu ulizozoea kuangalia zikipambana.

Mimi La Liga naangalia big games peke yake, bora hata msimu huu competition imekuwa kubwa kiasi tofauti na miaka ya nyuma.

Maana ilikuwa Barca anacheza na Real Betis unajua hapa naenda kuangalia atafunga mangapi, lakini msimu huu timu za chini zinakaza.

Kuna kipindi La Liga imedominate UEFA, unakuta Barca, Real Madrid, Atletico Madrid, Sevilla, Valenci: lazima 3 au 4 zinaingia quarter finals.
Mimi huwa nafatilia ata game za timu ndogo mana jamaa wanatoa burudani sana
 
Mimi huwa nafatilia ata game za timu ndogo mana jamaa wanatoa burudani sana

Sema uzuri wa La Liga game zimepishana tofauti na EPL, kuna game unatamani kuziangalia ila hazioneshwi au muda unaingiliana.

Kama sasa hivi kuelekea mwisho wa msimu kuna burudani sana kwa zile timu zinazokwepa kushuka daraja.
 
Back
Top Bottom