Mimi huwa nafatilia ata game za timu ndogo mana jamaa wanatoa burudani sanaYes, mapenzi ya ligi yanakuja kwa sababu unajikuta unataka kuziona timu ulizozoea kuangalia zikipambana.
Mimi La Liga naangalia big games peke yake, bora hata msimu huu competition imekuwa kubwa kiasi tofauti na miaka ya nyuma.
Maana ilikuwa Barca anacheza na Real Betis unajua hapa naenda kuangalia atafunga mangapi, lakini msimu huu timu za chini zinakaza.
Kuna kipindi La Liga imedominate UEFA, unakuta Barca, Real Madrid, Atletico Madrid, Sevilla, Valenci: lazima 3 au 4 zinaingia quarter finals.
Hv kwel mtu kama messi ataiweza eplepl ni mpera mpera hakuna kutulia kwenye kiti😀😀 ila aguero hii lig kaiwezea wengene kasi inawashinda wanaanza vizur msimu wa 3 au nne chali but huyu jamaaa tangu kaza top four kila msim hakosi
Tunahasira nao sio poaanawataman sana barca wapangwe na shark team
Ligi bora kabisa ile
Zipo nyingi za kuangalia labda tu uwe sio mpenzi wa ile ligiKiukwel ukitazama laliga labda big matches tu ndio zinavutia.
Nje ya hapo huwez kuangalia tim nje ya zile 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ile girona kdg safi kwanguZipo nyingi za kuangalia labda tu uwe sio mpenzi wa ile ligi
Sio rahisi kihivyo mzee, mimi kidogo Tot siwaogopi ila Liver na Man U nawapa heshima yao lolote linaweza kutokea
Kombe likija England afu kalileta Man U inakua haina maana bora libaki huko huko SpainNataman kombe lije kwanza england sijui kwa nn.
Ili ile dhana ifutike kuhsu spain
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kweli kwa kelel za man bora libak spainKombe likija England afu kalileta Man U inakua haina maana bora libaki huko huko Spain
Forwad za kutisha kama zipi mana washakutana na watu kama kina Hary Kane ukumbuke
Mimi huwa nafatilia ata game za timu ndogo mana jamaa wanatoa burudani sana
space and time inawabeba sana wachezaji wa la liga just wy wanachezea sana mpira ila epl huko kitu hakuna
Ukitaka kujua kama ataiweza au hawezi angalia takwimu zake akikutana na timu za EPL
Mimi naamin timu kama wolvermptm ingewasumbua wengitu uclspace and time inawabeba sana wachezaji wa la liga just wy wanachezea sana mpira ila epl huko kitu hakuna
Najua messi alijibu hivyo alipoulizwa.Ukitaka kujua kama ataiweza au hawezi angalia takwimu zake akikutana na timu za EPL