The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Man city siyo timu ya kubeba hili kombe kabisaa hana vigezo😂😂

Mechi zake kama sita zilizopita hashindi zaidi ya goli mbili pep wana wameshamjulia msimu ujao kwa hizi mbinu EUROPA inamuhusu
 
Man city siyo timu ya kubeba hili kombe kabisaa hana vigezo[emoji23][emoji23]

Mechi zake kama sita zilizopita hashindi zaidi ya goli mbili pep wana wameshamjulia msimu ujao kwa hizi mbinu EUROPA inamuhusu
Wewe sio wa kuongea ayo.
Kwa wanavyocheza spurs ww ungekuwa ushakula zakutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe sio wa kuongea ayo.
Kwa wanavyocheza spurs ww ungekuwa ushakula zakutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nadanganya Man city wallah anaweza akaishia semi final au akatoka hapahapa.

Katoka 2-0 na Cardiff 1-0 na Brighton na zingine kibao 2-0 yani hii ni inshara tosha kuwa wameshazisoma mbinu za Pep wapinzani goli 5 sijui 6 anazisikia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…