Hahah uliiona mkuuConglats people, that was one good game.
Mapambano yanaendelea.
Ww davet hili kombe tunalihitaji sana kuliko man u na top 4Hahah! Siunajua watakua kwao OT alafu hawatakubali tuwatumie kama daraja kuiteka ndoo hivyo watakaza na kufanya game iwe ngumu upande wetu. Ile sasa kushinda kwao ndio ata mimi sina imani
Man u hawezi kuzuia kasi hii.Hahah! Siunajua watakua kwao OT alafu hawatakubali tuwatumie kama daraja kuiteka ndoo hivyo watakaza na kufanya game iwe ngumu upande wetu. Ile sasa kushinda kwao ndio ata mimi sina imani
Hahah nyie pia hamjafungwa game nyingi nahisi mmepoteza game moja tu, sasa inabidi mpoteze tenaIla nyie mmeshinda game nyingi mfululizo, inabidi mdroo hata moja.
Hahah ni kweli mzeeWw davet hili kombe tunalihitaji sana kuliko man u na top 4
Ili la kufutia machozi
Yeah pale nyuma kuna katika sana.Game yenu leo kulikuwa na mismatch kwenye defense, na Tottenham walikuwa na patterns za ku-exploit hizo mismatch ila hawakuwa na clinical finishers.
Kuna 4 close attempts ambapo golikipa kazitoa kibahati, moja ya Son nadhani beki ndiye aliokoa.
Man Utd ukiacha motivation ya kwamba game ni Derby, sidhani kama wana chochote cha kuwatisha.
Kama mtapiga mpira wa leo, Utd anakufa 3+.
That's is really sure.Game yenu leo kulikuwa na mismatch kwenye defense, na Tottenham walikuwa na patterns za ku-exploit hizo mismatch ila hawakuwa na clinical finishers.
Kuna 4 close attempts ambapo golikipa kazitoa kibahati, moja ya Son nadhani beki ndiye aliokoa.
Man Utd ukiacha motivation ya kwamba game ni Derby, sidhani kama wana chochote cha kuwatisha.
Kama mtapiga mpira wa leo, Utd anakufa 3+.
Kama wao ile juzi bahati ilikuwa kwao sanaaaaa.Ila umeona mwenyewe spurs walivyowakosa, tuseme tu bahati ilikua upande wenu kwa leo
Kama tukichukua mwaka huu hilo. Namashaka sana mwakani.Sure, ngoja tusubiri hiyo Jumatano tuone.
Ila kombe lina kila dalili ya kubaki kwenu.
Note this.Kama mkimpiga Man Utd, morali kwangu itaisha, Newcastle au Wolves kuna mmoja anaweza kuzingua.
Yeah pale nyuma kuna katika sana.
Na spurs wamepajua vzr sana.
Isingekuwa kukosa kwao game ilikuwa GG
Hahah nyie pia hamjafungwa game nyingi nahisi mmepoteza game moja tu, sasa inabidi mpoteze tena
Then why pochtno laughedSure, nahisi kiwewe au upepo ulikata kwa sababu ya nguvu kubwa waliyoitumia UEFA.
Ila kulikuwa na scoring chances tena ambazo wamezitengeneza, achana na zile za kukudondokea.
Unatapatapa sana mkuu...........Barcelona upo .........Manchester United upo........Cheers upo.........Tukuweke kundi gani.Sisi Man united fans tutahakikisha munatupiga ili kuwaweka sawa kwenye sherehe zenu za ubingwa. Ninyi ni Majirani zetu bana ..ukibeba ubingwa ni City of Manchester yote imehusika..