The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Tough game.
Jamaa wanalinda sanaa,hawatak ata kusogea
 
Tough game.
Jamaa wanalinda sanaa,hawatak ata kusogea
Mkuu Hivi sauti haikukauki kweli,maana naonaga upogo mwenyewe tu yani humu unayetetea chama lako.....Hongera kwa kuongoza goli moja
 
Safi sn.Sie man u tunataka majiran mchukue ubingwa na si wakina Fulani.

Wolves anasubiri mtu atakoma!!!
 
Mkuu Hivi sauti haikukauki kweli,maana naonaga upogo mwenyewe tu yani humu unayetetea chama lako.....Hongera kwa kuongoza goli moja
Tatizo mm natim moja tu.
Wengine wanazaidi ya moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…