Burying the hatchet: Roberto Mancini and Carlos Tevez
anatarajiwa kutua Manchester in the next 48 hours
hivyo kuwapa matumaini ya silverware .... ......
leo tukitoka hapo ureno mungu mkubwa..
Hawa Porto wako fit mkuu...Lets wait and see.
yawezekana tukawafunga Porto, naona game linakwenda vizuri sasa.
yawezekana tukawafunga Porto, naona game linakwenda vizuri sasa.
Congrats to Man City for an impressive comeback.
acha tu mkuu nilikuwa nshachoka aiseee kweli balotelli ni noma bonge la striker..
Jamaa anajua tukipata nafasi ya kumuiba aje O.T itakuwa safi HA...HA...HA .Ila kwa zile mbwembwe sijui kama atawezana na SAF.
west ham bwana wanataka kukombolewa na tevez lakini jitihada zao zimegonga mwamba.. zaidi ingia hapa Goal.com