The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

article-2099844-0BFDE8A700000578-149_468x481.jpg


Burying the hatchet: Roberto Mancini and Carlos Tevez

anatarajiwa kutua Manchester in the next 48 hours
hivyo kuwapa matumaini ya silverware .... ......





Wanaanza ngebe tena
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
leo uwanjani
FC Porto v City

leo patachimbika mungu ibariki city tunahitaji ushindi..
 
acha tu mkuu nilikuwa nshachoka aiseee kweli balotelli ni noma bonge la striker..

Jamaa anajua tukipata nafasi ya kumuiba aje O.T itakuwa safi HA...HA...HA .Ila kwa zile mbwembwe sijui kama atawezana na SAF.
 
Jamaa anajua tukipata nafasi ya kumuiba aje O.T itakuwa safi HA...HA...HA .Ila kwa zile mbwembwe sijui kama atawezana na SAF.

city is a bad guyz team check tevez bonge la chezaji halafu jeuri mancini na yeye ni kocha lakini anakiburi yaani we acha tu najua tutafika mbali tu..

HALA Man City!!...
 
west ham bwana wanataka kukombolewa na tevez lakini jitihada zao zimegonga mwamba.. zaidi ingia hapa Goal.com
 
west ham bwana wanataka kukombolewa na tevez lakini jitihada zao zimegonga mwamba.. zaidi ingia hapa Goal.com

Wacha kelele na wewe ubingwa wa EPL haupatikani feb wala March ni May. kama hujui historia uliza nani alimleta Tevez kwenye EPL .... ....khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom