Hata angefunga lisingewasaidia maana kakosa wenzao wakaenda kutupia.Raheem mizinguo, kakosa goli yeye na nyavu dah
Football heritage mkuuWamebaki wajeruman na wafaransa
Naona wanarudisha ufalme wao taratibuuuu
Level yao ni EFL Cup
Misimu mitatu mfululizo timu za France na German zimezalisha talents nyingi sana kwenda league zingine hiki kilikuwa kinafuata si ajabu finali wakafika wote kutoka nchi moja.Wamebaki wajeruman na wafaransa
Naona wanarudisha ufalme wao taratibuuuu
Waarabu wataendelea kumvumilia ?Aisee, Pep akubali tu kwamba UEFA sasa basi. Atukomalie tu PL.
Ni kweli kabisa bila Mwasity UEFA ligi haiwezi kunoga, wale tusiompenda kaja tena leo hii 16/08/2020Bila Man City Uefa, Ligi haiwezi kunoga. wale wasiompenda kaja tena
Bebwalona ile hata kama wewe ungekuwa kocha ni lazima ungebeba makombe tu, UEFA ni ya Wanaume mkuu. Pep atjipumzikie tu kufundisha mpira kwa matarajio ya kubeba kikombe cha UEFA atanenepa piaWaarabu wataendelea kumvumilia ?
Yawezekana wakaachana nae wakatafuta kocha mwingine.
Toka ameondoka Barcelona anaishia robo finali tu havuki hatua hii anachomolewa akiwa Bayern katolewa mara tatu,Man city hii ya tatu pia.
Bado anajipya la kuwaambia waarabu ?
Haha alishindwa kuutwaa akiwa na Bayern ya moto ile kina Muller, Lewandoski,Thiago, Ribbery na Roben.Bebwalona ile hata kama wewe ungekuwa kocha ni lazima ungebeba makombe tu, UEFA ni ya Wanaume mkuu. Pep atjipumzikie tu kufundisha mpira kwa matarajio ya kubeba kikombe cha UEFA atanenepa pia
Pep anakimbilia kununua wachezaji tu.Waarabu wataendelea kumvumilia ?
Yawezekana wakaachana nae wakatafuta kocha mwingine.
Toka ameondoka Barcelona anaishia robo finali tu havuki hatua hii anachomolewa akiwa Bayern katolewa mara tatu,Man city hii ya tatu pia.
Bado anajipya la kuwaambia waarabu ?
Waarabu wataendelea kumvumilia ?
Yawezekana wakaachana nae wakatafuta kocha mwingine.
Toka ameondoka Barcelona anaishia robo finali tu havuki hatua hii anachomolewa akiwa Bayern katolewa mara tatu,Man city hii ya tatu pia.
Bado anajipya la kuwaambia waarabu ?
Anashindwa kuifanya Man city iwe tishio EUROPE japo anawachezaji wa viwango vikubwa.Pep anakimbilia kununua wachezaji tu.
Angalia atakavyoingia sokoni kwa hasira.
Unasema...???Pep anaondoka na kombe ucl inakuja etihad
Hana wachezaji threat kwa timu pinzani pamoja na vipaji vyao lakini wanadhibitiwa kirahisi sana.Binafsi sielewi tatizo ni nini kwa Pep, na wakimtimsha watapata kocha gani wa kuwapa UEFA?
Accuracy ya Barca kipindi cha Pep ilimbeba sana jamaa kuchukua UEFA.
Nahisi kutopata wachezaji wa caliber ya Xavi, Iniesta na Messi kutaendelea kumtesa sana. Kwa hii City, kwenye huo utatu namwona KDB peke yake.
Bado hamuamini pa1 na Pep kuweka rekodi za kutwaa makombe ya ligi za Bundesliga na EPL lakini bado anaendelea kuwa kocha dhaifu sana.Binafsi sielewi tatizo ni nini kwa Pep, na wakimtimsha watapata kocha gani wa kuwapa UEFA?
Accuracy ya Barca kipindi cha Pep ilimbeba sana jamaa kuchukua UEFA.
Nahisi kutopata wachezaji wa caliber ya Xavi, Iniesta na Messi kutaendelea kumtesa sana. Kwa hii City, kwenye huo utatu namwona KDB peke yake.
Hana wachezaji threat kwa timu pinzani pamoja na vipaji vyao lakini wanadhibitiwa kirahisi sana.
Kwenye timu yake anahitaji wachezaji watatu au wanne wenye calibre ya Kelvin De Bruyne alikuwa nao lakini watatu wawili wameshaondoka Silva na Company.
Atafute watu wanaoweza kubeba timu katika mechi kubwa.
Kwa sasa ana group la vijana wajanja wajanja tu.
Klop katengeneza timu ambayo collectively inatisha sana lakini pia wachezaji individually wanatisha sana.
Bado hamuamini pa1 na Pep kuweka rekodi za kutwaa makombe ya ligi za Bundesliga na EPL lakini bado anaendelea kuwa kocha dhaifu sana.
Tukiweka chuki na ushabiki pembeni Pep aliikuta Buyern Munich ikiwa bora sana chini ya yule kocha Babu aliyestaafu baada ya kuchukua nayo ubigwa wa UEFA dhidi ya Borussia Dortmund. Ile timu isingekuwa Pep, ingeendelea kuwa tishio sana Ulaya kuliko baada ya Babu kustaafu na kuchukuliwa na Pep.
Watu waliona nusu fainali Bavaria vs Mancity. Walisahau mpira unadunda.Unasema...???